Machotara, hebu tupeane changamoto mlizowahi kutana nazo kwenye maisha yenu

Mi nlienda kufanya kazi mkoani mbeya ndani ndani basi watu wakawa wanadhani mi muhamiaji haramu hasa msomali
 
Mi nlienda kufanya kazi mkoani mbeya ndani ndani basi watu wakawa wanadhani mi muhamiaji haramu hasa msomali
Duuuh, pole sana mkuu
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kule Zanzibar kuna stigma mbaya sana
Stigma kwa chotara wa kishirazi? Zenji wanabagua dini, wanabaguana unguja na pemba, wanabagua wabara, siasa za ubaguzi.
Sasa yote haya huleta hadi huo ubaguzi
 
Kubaguliwa,
huku kwa weusi unaambiwa unaringa,
Upande wa uzungu,unaonekana nigger
Basi kote kote balaaa tu
 
MACHOTARA wengi huwa wanakuwa unstable!
NAFKR inaongozwa na roho ya kukataliwa na toka tumboni!
THINGS LIKE
nimebeba mimba ya black!
nimebeba mimba ya mzungu!

akizaliwa jamiii zote mbili ni kama hazimkubali kama mmoja wao!
matokeo yake anajikuta kwa baba hayupo kwa mama hayupo!

akikua anaonekana wa kishua hata kama sio!
au wa hali ya chini hata kama sio!
inategemea anaonekana zaidi wa rangi gani na yuko eneo lipi tofauti na rangi yake!

akianza mahusiano atatizamwa kama mtu flan wa tofauti!as kuna mtu atamchukulia vile asivyo tu kwa ajili ya ngozi yake!
NAO WANAKUWA WANAJUA!


UKIMX VYOTE HIVYO!
wengi tu wanajikuta hawako serious na mahusiano!
akioa kuacha sio issue, mostly wanajikuta hata hawakukuta wazazi wao wote wawili wakiwa pamoja mpk ukubwani!
 
Machotara hawaaminiki kabisa mana ndio Double agents wa Intelligence community nyingi Huwa na maisha magumu tu kama watakuwa ndani ya Mifumo ya serikali
 
Nilikumbana na vita ya Rwanda ,baba mhutu mama mtutsi :jamii zote mbili hazikuamini .Umbaguzi umenitesa paka leo
 
Umefafanua vizuri sana... big up sis.
 
Machotara hawaaminiki kabisa mana ndio Double agents wa Intelligence community nyingi Huwa na maisha magumu tu kama watakuwa ndani ya Mifumo ya serikali
Hii ni nadharia tu..na stigma inazidishwa na hii nadharia ya kusema kuwa chotara mtu lazima awe double agent. Na hii inatengenezwa makusudi ili ku discourage interracial marriage.
 
Hii ni nadharia tu..na stigma inazidishwa na hii nadharia ya kusema kuwa chotara mtu lazima awe double agent. Na hii inatengenezwa makusudi ili ku discourage interracial marriage.
Bless thou heart
 
Sie mahafukasti(pointi faivu) tunasumbuliwa sana na masistaduu.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…