SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,106
- 8,043
Mukhtasari wa kauli ya Kansela wa Ujerumani Scholz na Raisi wa Ufaransa Macron katika Franco-German meeting jijini Humburg
#Ujerumani na Ufaransa inakemea vikali mashabulizi ya kigaidi ya Hamas dhidi ya Israel.
#Ujerumani na Ufaransa wataendelea kuisadia Ukraine dhidi ya uvamizi wa Urusi.
#Mataifa ya Ulaya inatakiwa kuachana na urasimu uliokidhiri.
#Kushirikiana kwa kuimarisha ulinzi katika mipaka ili kukabiliana na tatizo la uhamiaji haramu.
#Umoja wa Ulaya kushirikana zaidi katika maswala mazima ya sera za kibiashara, uzalishaji, teknolojia- kama vile akili bandia(AI) na kadhalika.
#Kushikirikana katika maswala ya Elimu na Tamaduni.
Chanzo: DW
#Ujerumani na Ufaransa inakemea vikali mashabulizi ya kigaidi ya Hamas dhidi ya Israel.
#Ujerumani na Ufaransa wataendelea kuisadia Ukraine dhidi ya uvamizi wa Urusi.
#Mataifa ya Ulaya inatakiwa kuachana na urasimu uliokidhiri.
#Kushirikiana kwa kuimarisha ulinzi katika mipaka ili kukabiliana na tatizo la uhamiaji haramu.
#Umoja wa Ulaya kushirikana zaidi katika maswala mazima ya sera za kibiashara, uzalishaji, teknolojia- kama vile akili bandia(AI) na kadhalika.
#Kushikirikana katika maswala ya Elimu na Tamaduni.
Chanzo: DW