Mada gani itakuwa inazungumzwa hapa?

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Mimi nawaza watakuwa wanajadili kuwa, ule umeme uliozingua jana angekuwepo jiwe kuna watu wangeliwa kichwa.

Karibu utiririke na wewe

 
Yanga anaweza beba ubingwa wa kombe la shirikisho barani africa.
 
Wateja hamna wakajichanganya kuskia ripoti ya C.A.G na mabilioni yanayovuja
 
Hapo wanajadili mademu tu, hakuna kingine!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…