[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]usjali naona broo anadeka jaman loooh badala mm ndo nideke eti yeye ndo anadekaa uje umchukue ndugu yakooo wallahMwambie broo kuwa popoma nitamlipa kuopoa mtoto mkali
Nisamehe bure.Namie nikastaajabu imekuaje[emoji3]
Yaani atozwe faini kwakweli[emoji3]Kwann amekusahau tena akiii tumshitaki
Halafu shem kesho nakuletea ubuyu wa babu Issa.Umeshamuambiaaa kaka akooo lakini maana amesinzia hapa kifuani kwanguu
Msinishitaki maana binadam hatujakamilika.Kwann amekusahau tena akiii tumshitaki
Usicherewe mda ni saa kumi jioni.Nitakuja pia nikiambatana na shemeji yenu
Hapana mkuu haihusiani na utoaji wa kafara.Sherehe itafuatiwa na Tambiko kubwa makaburini pamoja na Kafara,mgeni yeyote kutolewa kafara 'miungu' ikitaka hivyo!
Karibuuu sanaNitakuja pia nikiambatana na shemeji yenu
Mshana Jr rasmi kilingeni kumpokea Demiss cha mdeko !!!Sherehe itafuatiwa na Tambiko kubwa makaburini pamoja na Kafara,mgeni yeyote kutolewa kafara 'miungu' ikitaka hivyo!
Faini ni bia tu tena Heineken za barid unataka ngapi?Yaani atozwe faini kwakweli[emoji3]
Nilikwambia uje na karafuuu kesho jino linaumaa bhn shemej mambo gan hayoooHalafu shem kesho nakuletea ubuyu wa babu Issa.
[emoji3] [emoji3]Sherehe itafuatiwa na Tambiko kubwa makaburini pamoja na Kafara,mgeni yeyote kutolewa kafara 'miungu' ikitaka hivyo!
Ntaambiwa nimebeba magendo.Nilikwambia uje na karafuuu kesho jino linaumaa bhn shemej mambo gan hayooo
Hii reception sasa au nini?
Mke wa mganga haruhusiwi hivyo vitu,Shurti unywee kwenye kibuyu.Faini ni bia tu tena Heineken za barid unataka ngapi?
Oooh kumbeNtaambiwa nimebeba magendo.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo ni nje ya kilingeeeeHii reception sasa au nini?
Alafu nilikataa mwaliko kwa vile nimeokoka.