Mada Maalum kwa wale tuliokutana na Watu wanaoongea sana

Mbora wenu ni yule ambae hasemi mpaka aulizwe

Ukiweza kaa kimya mpaka watu wakuulize.
Kwa maana unakuwa kimya mpaka watu wanakuwa na hamu ya kusikia ukiongea
 
Muongeaje,kila kitu anajua,ubishi na sauti awe anaipaza kama upo ktk daladala utatamani kushuka au kuziba masikio.
 
kuna jamaa nakutana nalo mahala.limekaa sana nje huko sijui wapi banake aliiba sana huko nyuma. lakini anaongeaga pumba pumbapumbaa.af mbishi sana
 
faiza, hiyo avartar ni wewe?
Siyo mimi. Huyo ni mwanamke shupavu wa Kiislam aliyekubali kufungwa na hakimu huko USA kuliko kunyanyaswa kwa kuvuliwa hijab yake mahakamani. Msome...

 
Kuna kamama jirani yangu huwa kaongeaji balaa. Nahisi hadi muda wa kupumua huwa kanakosa.

Mtu anaongea mada ya kwanza kabla hujapanua mdomo kuchangia kashamaliza mada ya pili yupo ya tatu. Basi unabaki kukubali kwa kichwa tu
Kwakweli mimi hata kama mtu anaongea vp huwa sipendi kukubali kizembe
 
ooh sikujua hilo!
 
Kuna rafiki yangu muongeaji mno, aseme kitu alafu ubishe utaona hilo ligi la mabishano! tena anapenda ashinde atatoa hata ushahidi wa uongo
 

Tutanuka mdomo mkuu tukikaa kimya[emoji23][emoji23]
 
Ahhhhhhah kuna jamaa nikikutana nae anaongea sana.basi gia yangu naweka alarm baada ya dk mbili ikilia napokea namuaga namuambia "dah kuna jamaa nina ahadi nae"
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii ndio mbinu pendwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…