Mada Maalum kwa wale tuliokutana na Watu wanaoongea sana

Nilowahi kuhesabu siku moja tokea ameanza kuomgea mpaka namkimbia kwa hyo staili ni MASAA MAWILI.mkuu kweli hyo?

Masaa mawili mtu anaonhea yeye tena sio kwamba anakuuliza hamna.yeye akitoa stori hii anaweka ile akitoa ile anaweka hii yani hazishi mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii ndio mbinu pendwa
 
Huwa nachukua tu simu naanza kuperuzi,nakuitikia tu "ni sahihi!" Hata sjui umeongea nn.
 
Dawa yake ni kuhama hilo kundi halafu kakae peke yako huku ukisoma kitabu. Tena fnya hivyo mara kadhaa.

Mtaani kwetu kuna kikundi kina jamaa wana tabia hiyo. Toka January niliondoka na niliwaambia waziwazi kuwa kikundi chao hakinifaidishi.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…