Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Kama namuona alivyomsonya huyo askari kimoyomoyo[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu mtu kama hana upendo, hawezi kua na uvumilivuNdoa nyingi zinadumu kwa sababu ya uvumilivu wa wanandoa hao na sio upendo
Sent using Jamii Forums mobile app
🙄🙄🙄🙄[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Sijaelewa
Mwenyewe[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
OooohTunaondokaje kwa mfano eti uzi wetu huu
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]Mwenyewe
Nimeandikaje?
Shida ndo huanzia hapa... Hebu mkae mezani na waume zenu mkuleSasa sakayo kwa nn anatufukuza
Kaa mita milioni.Hahahhhah anataka kutuchanganya tu
Mwenzangu!!!Mimi nimeamua kukaa kando!kiroho safi ..ingawa nna uchungu sana sana..najaribu kuhimili hii hali lakini nafeli vby sana sana...!silali!
Penda wewe apo[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Mwenzangu!!!Mimi nimeamua kukaa kando!kiroho safi ..ingawa nna uchungu sana sana..najaribu kuhimili hii hali lakini nafeli vby sana sana...!silali!
Hapa natest mitamboHuyo ajuza hata jero ya banana hana.