mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Funguka tu
Jr[emoji769]
Mimi kabla ya kuoa nilikuwa mtu wa out sana, so mwenzangu hakuwa kivile sana kwenye ishu za out, nikaona huyu atanifaa mana atanidhibiti kama si kunipunguzia ishu za out, we balaa lake baada ya yeye kuchoma ndani, yani siyo udhibiti ule wa speed governor ni hakuna tena ishu za out (mwaka sasa labda nidanganye safari ya kikazi), eti anasema ukisikia hamu ya kwenda out ingia jf mana hiyo ndiyo imekuteka akili.
Sent from my iPhone using JamiiForums
We mkeo ananenepa hovyo unamwona tu unashindwa kumshinikiza afanye mazoezi na kula vyakula visivyo na Wanga na faty nyingi. Mambo mengine tusiwasingizie wanawake tu we sema unapenda totozi ukikaa bar au mahali pa starehe upige miluzi vibinti vije.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbarikiwe sana wanaume wote ambao familia zenu ndo priority zenuHahahahaaaa! Kuoa bila mipango au kulenga ishu moja tuu matokeo yake ndiyo hayo!!
Kabla ya kuoa ulipaswa kujua au kujifunza utaishi vipi na mkeo na hata baadae wanao! Yanayobaki muachie Mungu
Mie nina zaidi ya miaka 10 kwenye ndoa, mwanzoni nilipata ugumu flani coz kuna mmoja wetu kabadili dini so kufundishana na kuwekana sawa ilikuwa shida kidogo! Pia nilikiwa mnywaji, kurudi usiku hakuna muda na familia napo vilichangia kuweka gap kwenye ndoa yangu na wakati huo kipato kilikuwa chini, so tukawa na matamanio yasiyotimia matokeo yake ni stress na kugombana!
Kabla ya kuoa nilipanga kuwa na familia yenye furaha, outings na vacations na safari ni vitu napenda sana kiukweli!! Nilihitaji mtu wa kufanana nae!
Nilipoanza kazi na NGO moja hivii inadeal na maswala ya ndoa! Nilikuja kugundua visababishi vya vikubwa vya migogoro ya ndoa ni nini! Kimoja wapo ni kitendo cha kila siku kurudi nyumbani usiku wa manane, umelewa wanawake wanaumia sana ila basi tu! Yakimzidi ndipo nae hutafuta faraja kwa namna ingine au hubadilika tabia na ndipo hapo, migogoro inaanzia!
Niliamua kubadilika, pombe nikaacha na familia yangu ikawa ndiye rafiki zangu wakubwa!!
Naishi kwa amani na nafurahia maisha ya ndoa to maximum!! Sijutii kwa hakika na naamini hata mke wangu vile vile!!
Tunatoka outing wote, tunasafiri tunavyopenda tunafanya yanayotupasa yaan ni full furaha! Namshukuru Mungu kwa kweli.
Ndoa ya furaha inawezekana ila kwa jitihada za pande zote mbili!! Ukiona unaleta furaha ila upende mwingine hauhitaji uwe hivyo hilo ni tatizo na hapo inabidi kuchukia hatua!
Kikubwa tumia muda mwingi kuchunguza utayetaka kuoa au kuolewa nae. Kama ana tabia usiyoipenda jikatae mapemaaaa! Usitarajie atabadilika akishaingia kwenye ndoa, na hili ndiyo kosa la wengi!!
Unataka kuniambia kuwa hajioni kama anajiharibu mpaka mimi nimwambie? Ndani kuna vioo kila sehemu, chumbani, vyooni, bado tu mpaka mimi nimwelekeze what to do? Wanawake walivyo wa hajabu, mimi kama mumewe ninaweza kumuambia what to do ili asijiharibu shepu, yeye ataanza kufikiri labda nina nyumba ndogo au kuna mwanamke mtaani namtamani alingane naye, ndiyo maana unakuta sie wanaume hatuwaambii chochote wake zetu kuepuka malumbano ya kijinga. Unamwacha ajiharibu zaidi ili upate kisingizio ama kigezo cha kutafuta nyumba ndogo. Endeleeni kujiharibu tu na kutukata stimu ya kutowapenda.
Oooh lala Love in the air...........😉😉
Hahahahaaaa! Kuoa bila mipango au kulenga ishu moja tuu matokeo yake ndiyo hayo!!
Kabla ya kuoa ulipaswa kujua au kujifunza utaishi vipi na mkeo na hata baadae wanao! Yanayobaki muachie Mungu
Mie nina zaidi ya miaka 10 kwenye ndoa, mwanzoni nilipata ugumu flani coz kuna mmoja wetu kabadili dini so kufundishana na kuwekana sawa ilikuwa shida kidogo! Pia nilikiwa mnywaji, kurudi usiku hakuna muda na familia napo vilichangia kuweka gap kwenye ndoa yangu na wakati huo kipato kilikuwa chini, so tukawa na matamanio yasiyotimia matokeo yake ni stress na kugombana!
Kabla ya kuoa nilipanga kuwa na familia yenye furaha, outings na vacations na safari ni vitu napenda sana kiukweli!! Nilihitaji mtu wa kufanana nae!
Nilipoanza kazi na NGO moja hivii inadeal na maswala ya ndoa! Nilikuja kugundua visababishi vya vikubwa vya migogoro ya ndoa ni nini! Kimoja wapo ni kitendo cha kila siku kurudi nyumbani usiku wa manane, umelewa wanawake wanaumia sana ila basi tu! Yakimzidi ndipo nae hutafuta faraja kwa namna ingine au hubadilika tabia na ndipo hapo, migogoro inaanzia!
Niliamua kubadilika, pombe nikaacha na familia yangu ikawa ndiye rafiki zangu wakubwa!!
Naishi kwa amani na nafurahia maisha ya ndoa to maximum!! Sijutii kwa hakika na naamini hata mke wangu vile vile!!
Tunatoka outing wote, tunasafiri tunavyopenda tunafanya yanayotupasa yaan ni full furaha! Namshukuru Mungu kwa kweli.
Ndoa ya furaha inawezekana ila kwa jitihada za pande zote mbili!! Ukiona unaleta furaha ila upende mwingine hauhitaji uwe hivyo hilo ni tatizo na hapo inabidi kuchukia hatua!
Kikubwa tumia muda mwingi kuchunguza utayetaka kuoa au kuolewa nae. Kama ana tabia usiyoipenda jikatae mapemaaaa! Usitarajie atabadilika akishaingia kwenye ndoa, na hili ndiyo kosa la wengi!!
Kasie wa dadii
Mpwa ongea tu, tunajifunza japo hii nyongo iliyomwagwa kwenye uzi huu ni balaa la 2019.Bora bado mna courage ya kuongea!
Mpwa ntalipitia hili nyongo, inabidi aiseee!Mpwa ongea tu, tunajifunza japo hii nyongo iliyomwagwa kwenye uzi huu ni balaa la 2019.
Hello Mnama, habari ya siku nyingi...??
Kwema??
Kasie na Mahaba yake as usual hehehehee, niko vilevile bado hata sijaacha.
BAK , heshima yako boss wangu mekumissKupunguza UGWADU 😎 😎
Hakuna kitu kinadumu milele, yanaweza Leo yakawa makubwa lakini baadaye mambo yanakuwa shwari in suala la muda tu na uvumilivu kuchukua mkondo wakeMara ngapi mesema mpaka mtu aamue kuondoka kuna makubwa, wewe na mito mnajitoa ufahamu tu!
Huhuuhuuhh[emoji13][emoji13][emoji13]...eti lazima nyongo ijae mwiliniHatimaye nimesoma posts zote...wtf??
Ukisoma hivi kila siku lazima nyongo ijae mwilini, sitaki kusoma vitu hasi namna hii, havijengi ni kubomoa tu mwanzo mwisho, japo kuna funzo pia tunapata.
Tufanyie kazi mahusiano yetu, huwa naamini hakuna maisha marahisi, uwe single, umeoa/kuolewa, uwe mtawa, divorcee, ishi na dada/kaka zako. Maisha ni fumbo, haturidhiki sisi wanadamu.
Naishi jinsi nilivyochagua, najaribu kufanya compromise ili hata nisiyopenda niendane na mwenzangu. Life's too short to yell all the time!!
Thanx Mshana Jr, bango zuri...
Mkuu tunasubiria...Subiri nikalewe, nina gazeti zima la kuandika humu.