mshana jr au mwingine mwenye uzoefu nataka kuagiza raum, ila watu wanasema old model ni imara kuliko new model, please mwenye kujua haya magari vizuri, na matatizo yake,
Nashukuru sana mkuu.Utofauti siujui sana niwe tu mkweli katika hili ila fuel consumption inarange km 8-10 kwa litre moja
Raum old model is the best...ila all in all ni utunzaji tuu
Raum afadhali hata hizi new model ndugu yangu lakini fact moja ni kwamba gari nyingi hizi zenye cc ndogo na za kisasa ni gari za kufanyia mambo mepesi hazitaki shuruba
Uko sawa kbs mkuu, gari kama Passo, ist, raum na hizo gari zenye cc chini ya 1800 yani sio gari ambalo unaweza jiamini sanaa kuwa una gari hasa kama ni mtu wa mishe mishe na bht mbaya iwe ni barabara yenye makorongo
Naomba kujuzwa kuhusu toyota belta. Zina uzuri au ubovu gani.. naona haziko nyingi mjini..
Wadau wa magari tujuzane ongezeko la kodi kwenye kuimport gari toka nje imeongezeka kwa kiasi gani kwenye bajeti iliyosomwa leo. Na je itaathiri magari yaliyoagizwa tayari?
Nawashukuru sana mshana jnr na ansah miles , rav4 shida yake space ndogo sana! Mbona kuna wengine wanadunda nazo sana hizo hizo harrier?
Sio gari maarufu na hata mi mwenyewe nimeziona nafikiri mbili au tatu hivi hivyo ni ngumu kuzijadili
Hii expire date vip? Nimetoa spre tyre niangalie isije expire. Nimekuta View attachment 260004 kama hiyo picha hapo. Hii ni brand new Bridgestone iliyokuja na gari ya mwaka 2006. Je hiyo 3205 ni kuwa iliexpire 2005 wiki ya 32 ama ni 2015 wiki ya 32?