Duu, Toyota Gluga, mtu kama huyu hivi anaweza hata kusoma user manual ya gari kweli? Masikini ya Mungu. Hii ni legacy ya ile mitihani ya darasa la saba, ulikuwa ukifeli ule mtihani na huna uwezo wa private school you are doomed for life.
Toyota Gluga.
Duu, Toyota Gluga, mtu kama huyu hivi anaweza hata kusoma user manual ya gari kweli? Masikini ya Mungu. Hii ni legacy ya ile mitihani ya darasa la saba, ulikuwa ukifeli ule mtihani na huna uwezo wa private school you are doomed for life.
Toyota Gluga.
Duu, Toyota Gluga, mtu kama huyu hivi anaweza hata kusoma user manual ya gari kweli? Masikini ya Mungu. Hii ni legacy ya ile mitihani ya darasa la saba, ulikuwa ukifeli ule mtihani na huna uwezo wa private school you are doomed for life.
Toyota Gluga.
habari zenu wanajamvi je kuna mtu anawezakuwa na diode na cut ya kwenye alternator volt 12 au wapi naweza kupata used kama yes npm mkuu
Kuhusu FreeLander na Landrover zote kwa ujumla, yaani Defender,Freelander,Discovery na Range rover mnaweza kuniuliza maswali mengi muwezavyo hapa,
Nikianzia na FreeLander kwenye swami lako la msingi:
Matoleo ya mwanzo kabisa ya FreeLander yalipewa Polisi, baada ya warrant Kwisha FreeLander hizo zilipelekwa kwa mafundi wa mtaani kwa matengenezo nadhani kwa kuwa CMC, ambao ni wakala gharama zao za matengenezo ziko juu sana,kwa bahati mbaya sana magari nayo yanatumia Umeme mwingi sana wa ki-electroniki( electronic control systems) na pia yana complicated security system, na yakishakua na security issue ufumbuzi pekee kwa wakati huo ni CMC, ugumu huo ukapelekea mafundi kushawishi suluhisho pekee ni kubadilisha injini, ( weka injini ya RAV4, crazy!), dhana hiyo ikaacha kovu kwamba FreeLander hazitengenezeki, ila FreeLander ni magari mazuri sana tu, very comfortable, 4WD, n.k.
ya alternator ya gari gx 110 inanyonya betri fundi ameniambia imekufa kwa hiyo haifui umeme so nataka ya kubadilisha. Gari ikiwaka baada ya kubustiwa inazima ukitoa betri ya msaada.so kwa ushauri ni bora ninunue hivi vitu au ni badilishe altornator yote?Iko too general hebu ifafanue usaidike special agent
Next time kiongozi, usifanye personal attack, tuna mengi ya kujifunza, kumvumilia yeyote inatafsiri busara na makuzi ya mtu, matusi nk ni utoto na si mahali pake !tuwe tunajadili issues!! mbarikiwe nyote
Anyway, take it easy bro, lakini mkuu kwa uandishi ule ilikuwa ni swagger tu au ni nini hasa? Tunajua unajua, nasi tunaomba utujuze tujue zaidi.Sio wewe mkuu ni ho jamaa linalo dharau watu lisilo wajua
Mkuu mshana jr habari yako. kwanza hongera kwa kuasisi thread kama hii ambayo inajenga...wewe ni mmoja wa watu wa kuigwa na ikiwa kama kila mmoja kutokana na utaalam wa taaluma yake akaamua kuanzisha kitu kama hiki basi tutafika mbali... big up mkuu...
Me nataka kuagiza garo la Toyota Rav4 2005 kutoka uingereza. sasa kama unachochote cha kuniambia kutokana na uzoefu wako kuhusu gari hii (ubora na tatizo) nitashukuru na itakuwa msaada mkubwa katika uamuzi wangu.
ya alternator ya gari gx 110 inanyonya betri fundi ameniambia imekufa kwa hiyo haifui umeme so nataka ya kubadilisha. Gari ikiwaka baada ya kubustiwa inazima ukitoa betri ya msaada.so kwa ushauri ni bora ninunue hivi vitu au ni badilishe altornator yote?
Heshima kwenu wakuu
nilikuwa nauliza vipi kuhusu uimara na matumizi ya mafuta
fuel consumption kwa Suzuki grand vitara 2015 model? 2.4cc (2400cc)
4cylinder
Natanguliza shukrani.[/QUOTE
cc;Mshana jr
Bora kubadili alternator kwa uhakika zaidi