Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Wadau, ninashida ya spare ya subaru sambar model V -KS4, fundi ameniambia ni sensor ya kuruhusu hewa kwenye engine, nitaattch picha, nimetafuta nimechemka. Halafu mshana jr niliomba Uniadd kwenye group naona kimya
 
Last edited by a moderator:
Wadau, ninashida ya spare ya subaru sambar model V -KS4, fundi ameniambia ni sensor ya kuruhusu hewa kwenye engine, nitaattch picha, nimetafuta nimechemka. Halafu mshana jr niliomba Uniadd kwenye group naona kimya

Ooh sorry kaka tafanya hivyo ASAP, kuhusu hiyo sensor wasiliana na dealer wa Nairobi
Hebu nipm no yako pls
 
Last edited by a moderator:
Kifaa chenyewe
 

Attachments

  • 1446208295105.jpg
    23.9 KB · Views: 188
  • 1446208338461.jpg
    26.8 KB · Views: 187
  • 1446208373531.jpg
    37.4 KB · Views: 187
Wakuu habari! naomba kujua kati ya Toyota IST na Toyota RACTIS ipi ni bora zaidi kwa matumizi ya hapa mjini
 
Asante, ngoja nijaribu pia hiyo njia, maana gari inakuwa nzito sana unapoiamsha popote ili ianze kutembea.....then ikichanganya inaenda safi utapanda kila minuko wenye barabara.

mkuu Gari aina gani hiyo na upo wapi ww nikusaidie .kutatua hilo tatizo
 
Jamani habari zenu! Kwa mzoefu yeyote anisaidie, nina 8m naweza agiza raum ya 2003 pesa hii ikatosha kwa kila kitu. Unaweza pia nishauri gari nyingine. Asanteni.
 
Wadau, ninashida ya spare ya subaru sambar model V -KS4, fundi ameniambia ni sensor ya kuruhusu hewa kwenye engine, nitaattch picha, nimetafuta nimechemka. Halafu mshana jr niliomba Uniadd kwenye group naona kimya

Wewe.......hao beforward si wana mall hapo Dar.......kila kitu kipo humo......ma nose cut.......ma taa.......ma brake cable......ushindwe mwenyewe.........
 
Wewe.......hao beforward si wana mall hapo Dar.......kila kitu kipo humo......ma nose cut.......ma taa.......ma brake cable......ushindwe mwenyewe.........

Waifu, Asante kwa ushauri, ila nimesearch kwenye website yao nimetoka holaaa........
 
Waifu, Asante kwa ushauri, ila nimesearch kwenye website yao nimetoka holaaa........

Pole sana.......hukutafuta vizuri.........wacha nikuwekee hapa Ili na wengine wafaidike.........mimi naelekea huko kuchukua commission kwa kuwafanyia promo humu.......hi hi hi hi hi.........
 

Attachments

  • image.jpg
    18.7 KB · Views: 270
kwanini gari nyingi zenye piston tatu zina ugonjwa wa kutetemeka ukiwasha hasa kwenye steling?.mfano passo.piston tatu na nyingine?
 
Heeee atakuonganishiaa vidolee... Namba iko wap... Au kundi ware less Hilo...
 
Mshana gari yangu kosa tatizo kukosa nguvu ninapotaka kuondoka sujui tatizo ni nini na hadi ikae muda kidogo na baada ya hapo ukikanyaga mufuta hadi speed 40 ina kuwa haina nguvu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…