Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Hiee mshana n wadau wengine.naomba kuuliza kuna ile alama ya triangle kweny dash board inainesha warning inakua inawaka taa.je ni tatizo
 
Hiee mshana n wadau wengine.naomba kuuliza kuna ile alama ya triangle kweny dash board inainesha warning inakua inawaka taa.je ni tatizo

Unatumia gari gani?
 
Habari wana jamvi,ninaomba ushauri wa gari aina ya toyota ISIS jwani ninataka kuinunua baada ya kuipitia na kuona linanifaa kwaajili ya familia yangu.napenda mambo ya fuatayo.
1.ubora wake ususani upande wa vipuri na upatikanaji wake.
2.gharama za uendeshaji(ulaji wa mafuta)
3.ubora wa engeen.
4.matatizo ya hayo magari kwa ujumla
 
Mambo vp wataalam
Nina gari aina ya carina matako ya nyani
1.Taa ya check engine inawaka muda wote nimepeleka kwa mafundi ila hakuweza kulitatua
2.Ikiwa speed 70 na kuendelea inatetemeka sana sometimes inakosa nguvu kabisa
3.inakula mafuta sana

Nlikua na tatizo kama hilo kwenye raum. Mafundi kibao wakachemka. Nikampelekea jamaa flani sinza lion hotel kule kumbe coil za plug waoshaji walitia mJi. AkZichange saivi mwendo mdundo
 
Raum ya 2003 inavuma sana nikiwa spidi 60 na kuendelea. Tatizo ni bearing za miguu ya mbele. Napata wapi orijino na bei yake ngapi
 
Nlikua na tatizo kama hilo kwenye raum. Mafundi kibao wakachemka. Nikampelekea jamaa flani sinza lion hotel kule kumbe coil za plug waoshaji walitia mJi. AkZichange saivi mwendo mdundo

Asante kaka naweza pata mawasiliano nao?
 
gari yangu ni automatic nikibadilisha gear kutoka P kwenda R au D inakuwa inashtuka, kwenye dashboard hamna taa yoyote ya hatari inayowaka, je tatizo itakuwa ni nini?
 
Nlikua na tatizo kama hilo kwenye raum. Mafundi kibao wakachemka. Nikampelekea jamaa flani sinza lion hotel kule kumbe coil za plug waoshaji walitia mJi. AkZichange saivi mwendo mdundo

badilisha waya za plug na plug zenyewe boss
 
gari yangu ni automatic nikibadilisha gear kutoka P kwenda R au D inakuwa inashtuka, kwenye dashboard hamna taa yoyote ya hatari inayowaka, je tatizo itakuwa ni nini?

kazi ndogo hiyo. Gari automatic inatumia brake kama clutch hivyo mpelekee fundi aangalie kama brake ziko sawa
 
kazi ndogo hiyo. Gari automatic inatumia brake kama clutch hivyo mpelekee fundi aangalie kama brake ziko sawa

Nashukuru mkuu ni gari ndogo Carina T.i, inawezekana kweli brake maana nilizibadilisha hata wk mbl hazina zinatoa hissing sound
 
Nina verosa inapiga makelele kwele nikiwa naanza mwendo then mida inatulia haikua hv what's the problem
 
jamani nmetokea kuipenda gari aina ya Grand mark 2 sasa ningependa kuomba ushauri na changamoto zake kabla sijanunua
 
Nina verosa inapiga makelele kwele nikiwa naanza mwendo then mida inatulia haikua hv what's the problem

fafanua zaidi kelele hizo zinatokea mahali gani?mara nyingine ni kwenye fan belt hapo jaribu kuiwasha fungua bonet then mwagia maji au mafuta kwenye berings hizo au lah zima ac yote hayo ni katika kujaribu maana hujasema ni kelele za auna gani na zinatokea wapi
 
niliomba: shauri kwa wanao ifahamu gari aina ya toyota ISI na kqma ina matatizobyeyote kabla sija iagiza naomba msaada jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…