Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Niwie radhi LEGE nitumie saivi kabla sijaingia mtaani

Hivi idadi rasmi ya watu whatsapp inayotakiwa ni ngapi........?......maana naona kama huko gereji kwenu kushajaa sasa......:
 
Last edited by a moderator:
Daah bas yawe hata mawili asee..add me plz 0758189978 on a serios note nahitaji msaada wa kimawazo na ufundi.asanteni.
 
Wadau...msaada wa taarifa...rav 4 old model...5 doors (btn 1996 hadi 1999) zinauzajwa kwenye show room dsm? Avarage price.. asanten
 
Hivi idadi rasmi ya watu whatsapp inayotakiwa ni ngapi........?......maana naona kama huko gereji kwenu kushajaa sasa......:
Limit ni 100 lakini in and out nyingi hivyo graph inapanda na kushuka
 
Wadau...msaada wa taarifa...rav 4 old model...5 doors (btn 1996 hadi 1999) zinauzajwa kwenye show room dsm? Avarage price.. asanten

Agiza mwenyewe......utalipa kati ya 16-18......Ila chukua ya mwaka 1998/99......ukitaka kujua tofauti na ya 96/97.....angalia taa kubwa za mbele.........
 
Limit ni 100 lakini in and out nyingi hivyo graph inapanda na kushuka
Sasa kama wanaomba kuingia halafu wanatoka maana yake ni nini.......?......watu wengine bana......
Ingekuwa grp langu ningewatwanga spana ya kichwa mimi.......
 
Sasa kama wanaomba kuingia halafu wanatoka maana yake ni nini.......?......watu wengine bana......
Ingekuwa grp langu ningewatwanga spana ya kichwa mimi.......
Hahahahaa unajua kule si Kama hapa, kule watu wanajiachia na chitchat nyingi mpaka inapotokea mwenye tatizo ndio anasaidika sasa kwa njia hii pengine wengine wanaboreka
 
Hahahahaa unajua kule si Kama hapa, kule watu wanajiachia na chitchat nyingi mpaka inapotokea mwenye tatizo ndio anasaidika sasa kwa njia hii pengine wengine wanaboreka

Wawekee engine yoyote wafungue na kufunga......itawaweka busy waache porojo.....ili grp lidumu......
 

grand mark 2 zimefungwa engine za aina 2 1g fe na 1jz fse kama ya kwenye brevis

lakini engine ya mark x nikubwa zaidi aisee.
juu ya mfumo wa umeme mark x ni yakisasa zaidi kuliko grand mark 2 imefungwa mambo mengi zaidi ya kisasa hata ukiwa unaendesha inatulia sana barabarani.garama za service ni sawasawa tuu hakuna tofauti lkn
 
Naomba msaada wa kuweka RAUM overdrive maana sioni kitufe cha namna hiyo kwenye gari yangu au kina alama nyingine?
 
Agiza mwenyewe......utalipa kati ya 16-18......Ila chukua ya mwaka 1998/99......ukitaka kujua tofauti na ya 96/97.....angalia taa kubwa za mbele.........
aluu tena na mm.naisaka ya mwaka 98/99 ila ya kishkaji.....vepee.....?
 
Naomba kujuzwa kuhusu toyota alphard kwa wenye kujua au waliotumia. Naopenda space na comfort ndani ila sijui uimara wa injini na maintenance yake.... Vipuri n.k

Asanteni
 
Naomba kujuzwa kuhusu toyota alphard kwa wenye kujua au waliotumia. Naopenda space na comfort ndani ila sijui uimara wa injini na maintenance yake.... Vipuri n.k

Asanteni
Bado ni gari mpya hazijakaa sana Tanzania na zinamilikiwa na wachache, ambao kati yao wamezisifia lakini fuel consumption iko juu
 
Mshana nisaidie ufahamu juu ya engine D4 na changamoto zake na kuna tofauti gn ya kiutendaji kati engineD4 na 3S engine..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…