Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Naombeni kujua kuhusu Volkswagen Tiguan na saloon car VW Passat,bei zake mtu ukitaka kuimport,kuhusu ubora,mafuta, spare parts,
niko shallow kwenye hii sekta ya magari
Nyingi kwa uzoefu Wangu ziko vizuri ila parts kidogo ni chache na zipo juu kiasi
 
Nina landcruiser inasumbua sana kwenye cluch .wakati mwingine inajam na wakati mwingine gear zinakataa kingia nn suluhisho?
 
Nina landcruiser inasumbua sana kwenye cluch .wakati mwingine inajam na wakati mwingine gear zinakataa kingia nn suluhisho?
Nafikiri tatizo liko kwenye scruniser hasa gear no 2 au 3
 
Nina landcruiser inasumbua sana kwenye cluch .wakati mwingine inajam na wakati mwingine gear zinakataa kingia nn suluhisho?
Kama ni manual mpe fundi akubadilishie clutch rubber ya chini na juu zitakua zimechoka hivyo mgandamizo wa break fluid ukifanyika inavuja hivyo inapelekea jamming .. Chakufanya Wewe nunua repair kit itakucost total 20K @ 10K.
 
Wakuu
Kagari changu ni Carina ti inachelewa sana kuchanganya ninapokanya mafuta, nini tatizo?
 
Wakuu
Kagari changu ni Carina ti inachelewa sana kuchanganya ninapokanya mafuta, nini tatizo?
peleka kwa fundi mwambie afungue sampo ya giabox inapokaaga hydrolic then aisafishe vizuri kabisa baada ya hapo weka hydrolic yenye viwango kama ya bp kama bado haitabadili gia fasta uje utoe mrejesho hapa
 
peleka kwa fundi mwambie afungue sampo ya giabox inapokaaga hydrolic then aisafishe vizuri kabisa baada ya hapo weka hydrolic yenye viwango kama ya bp kama bado haitabadili gia fasta uje utoe mrejesho hapa
Akhsante mkuu umenipa pa kuanzia
 
rafiki yangu ajajiunga jf but anaomba ushauri kati ya vits na passo zote 980cc achukue ipi?
 
Wakuu nina ka raum kangubka 2003 milango ya kushoto (ile auto) inagonga gonga sana. Msaada pls
 
Habari za mapumziko wakuu
Naomba kupata ushauri, nahitaji kununua moja kati ya gari hizi 1. Nissan xtrail 2. Suzuki Grand Vitara. Hivyo basi naomba kujua uimara, ubora, uhimili wa barabara za vumbi, upatikanaji wa spea na gharama zake, gharama za service na lolote la ziada ambalo sijaliorodhesha.
Aim: kutumia hasa kwa safari za kwenda mikoani specifically Singida na Rufiji vijijini kidogo kwani kuna masuala ya kilimo nahangaika nayo
Wassalam
 
Naomba msaada Nina raum new model Ila taa ya engine inawaka njano nkiwasha gari halafu kuna mda inazima kuna mda inawaka sielewi nifanyeje.
 
Hiee Nina raum new model nkiwasha gari taa ya engine ya njano inawaka n mda mwingine inazima.tatizo itakua nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…