Hiee Nina raum new model nkiwasha gari taa ya engine ya njano inawaka n mda mwingine inazima.tatizo itakua nini
Try to soften the blow! Hii kauli ni kali sana mkubwa wangu. Anyway asante kwa ushauri, ni kutokuelimika kwa watu ndio maana wanafanya hivyo.Inashangaza sana, mtu kanunua gari cc1890 alafu bado anaogopa fuel consumption kwa kuweka ac..nadhani mtu wa hivyo anafoji kumiliki gari
Go for grand VitaraHabari za mapumziko wakuu
Naomba kupata ushauri, nahitaji kununua moja kati ya gari hizi 1. Nissan xtrail 2. Suzuki Grand Vitara. Hivyo basi naomba kujua uimara, ubora, uhimili wa barabara za vumbi, upatikanaji wa spea na gharama zake, gharama za service na lolote la ziada ambalo sijaliorodhesha.
Aim: kutumia hasa kwa safari za kwenda mikoani specifically Singida na Rufiji vijijini kidogo kwani kuna masuala ya kilimo nahangaika nayo
Wassalam
Habari za mapumziko wakuu
Naomba kupata ushauri, nahitaji kununua moja kati ya gari hizi 1. Nissan xtrail 2. Suzuki Grand Vitara. Hivyo basi naomba kujua uimara, ubora, uhimili wa barabara za vumbi, upatikanaji wa spea na gharama zake, gharama za service na lolote la ziada ambalo sijaliorodhesha.
Aim: kutumia hasa kwa safari za kwenda mikoani specifically Singida na Rufiji vijijini kidogo kwani kuna masuala ya kilimo nahangaika nayo
Wassalam
hongera sana mkuu kwa kuwa na budget ya kununua gari hasa kipindi hiki cha magufuli ambacho kila kiongozi anatafuta sifa.Habari za mapumziko wakuu
Naomba kupata ushauri, nahitaji kununua moja kati ya gari hizi 1. Nissan xtrail 2. Suzuki Grand Vitara. Hivyo basi naomba kujua uimara, ubora, uhimili wa barabara za vumbi, upatikanaji wa spea na gharama zake, gharama za service na lolote la ziada ambalo sijaliorodhesha.
Aim: kutumia hasa kwa safari za kwenda mikoani specifically Singida na Rufiji vijijini kidogo kwani kuna masuala ya kilimo nahangaika nayo
Wassalam
Thkx mkuuBila kupepesa macho chukua
inawezekana aliye kwaambia akawa saa hii au asiwe saa hii usahihi wa hapo nifundi kuichek.aither kwa kutumia mashine au manually yote itakupa jibu sahihi.Nipo Dodoma.walifunga cylinder gasket sasa and kuanzia hapo gar kama wamechokozaa.taa hiyo inawaka.kuna mtu akasem eti wamekosea timing.sasa mim sielew mana napata hofu kutok nayo na kazini napandisha mlimaa.plz nisaidieni mana gar ilikua nzima kabisa haiwak taa hizo.Ila bada tu ya kufunga hicho kifaa ndo imekua taabu.msaada plzzz
ni.gari aina gani mkuu na.je huwa inawaka taa gani?? maana kuna taa 2 za tempereture blue /green hii kawaida na red hii ndio mbaya inamaanisha gari inachemsha au overheating je ww huwa inawaka ipi kati ya hizo.Wakuu habarin Nina gari tangu nimeimiliki ni mwez sasa Niko mkoan kwa sasa nilipokuwanayo dar muda Wa kuiwasha taa ya temperature ilikuwa haiwaki lkn tangu niwe nayo huku mkoan nikiiwasha taa ya temperature inawaka lkn baada ya mwendo mfupi inazima wajuz msaada
Go for new model lakini parts ziko juu kidogoNaombeni ushauri ndugu zangu wanajamii nataka kununua Toyota Rv4 ila si mtaalam saana wa hizi gari hususani new modern na old zipi zip poa hasa kwa upande wa vipuli hupatikani wake,na consumption ya fuel...ushauri plz na hapa bongo naweza pata kwa sh ngapi
Mkuu Toyota Corolla Spacio new model na Suzuki Aerio......ipi inaweza ikawa bora kwa mazingira yetu hasa wa huku mikoani ambako barabara ni shida..Go for grand Vitara
Kwa hiyo yoyote inafaa??Mmh hizi zote ni generation moja