Jaribu kubadilisha ECU huwa haisomi upande wa gear yan muite fundi ajaribu kufunga ECU nyingine uone kama itafanya kazi, hapo ECU itakuwa haina mawasiliano mazuri na gear boxAisee hapo ni shida nilishawahi kukutana na kesi kama hiyo gearbox ikabadilishwa zaidi ya mara nne, unafunga inakuwa poa ila round moja ya kutest ukirudi Kimeo! Gearbox ya mwisho kufungwa ikatulia lakini ulaji mafuta ukawa maradufu
Ushauri : uza hiyo gari utafute nyingine
Hapana sijawahi kucheki kabisa hiyo kituUmwshawahi kucheki diff oil au kuongeza hata maramoja? Hebu kacheki hilo kwanza
Weka hiyo hiyo usibadiliHabar za mapumziko ya Karume Day? Naomba ushauri wakuu, navua matairi kwa mara ya kwanza!
Naomba kujua nivae size ipi na aína gani kwa uimara na ubora hapa kwetu Bongo nchi ya majaribio kila leo!
Size nilizokuwa nazo toka Japan ni 185/70R14 88S!
Asanteni sana kwa huduma hii nzuri!
Ni gari aina gani? Jaribu kufuatilia vzr specs za gari yako. Mm niliwahi nunua gari yenye specs tofauti na tairi za gari hivyo nikabadilisha tairi ili kuweka zile zenyewe.Habar za mapumziko ya Karume Day? Naomba ushauri wakuu, navua matairi kwa mara ya kwanza!
Naomba kujua nivae size ipi na aína gani kwa uimara na ubora hapa kwetu Bongo nchi ya majaribio kila leo!
Size nilizokuwa nazo toka Japan ni 185/70R14 88S!
Asanteni sana kwa huduma hii nzuri!
Weka hiyo hiyo usibadili
Hii ni michezo ya kwenye meli mjep hawezi kufanya hivyoView attachment 335556
Hiyo ni tairi size 17 ambayo ilikuja na gari lakini sio size proper. Gari hii ni escudo 2007 ambayo appropriate size ya tairi ni size 16. So imebidi kuvua rim na kuweka rim za 16 tofauti na zile 17 zilizokuja na gari
Hahaha mkuu hiyo ni Mjep aisee huwezi amini, toka tangazo lililopo kwenye advert ni tairi hiyo hiyo WANLI..shit happens menHii ni michezo ya kwenye meli mjep hawezi kufanya hivyo
Ni oil ya gear box kaka. Km 3000 si ni engine au?Km 3000 ordinary
Nadhani hamkuelewanaNi oil ya gear box kaka. Km 3000 si ni engine au?
Mmh, mkuu then mazoea haya, kibongobongo watu hatujui kama kuna kubadili gearbox Oil, sisi ni engine oil mwanzo mwisho.Zote ni hivyo hivyo km3000- 6000 au 5000
Kuna fundi kaniambia gearbox ni baada ya km 100,000Mmh, mkuu then mazoea haya, kibongobongo watu hatujui kama kuna kubadili gearbox Oil, sisi ni engine oil mwanzo mwisho.
Zote ni hivyo hivyo km3000- 6000 au 5000