Prince Nadheem
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 1,259
- 1,056
"Wadau nina Passo piston 3 nataka kubadili engine kuweka ya piston 4. Naomba kujua gharama ya tukio zima kuanazia manunuzi kwa wanaoju. Thanks"Sijauona mbona?
Simshauri kabisa hivi vitu vinaenda kwa mahesabu yake"Wadau nina Passo piston 3 nataka kubadili engine kuweka ya piston 4. Naomba kujua gharama ya tukio zima kuanazia manunuzi kwa wanaoju. Thanks"
Jamaa aliuliza hvyo hapo juu
vipuri vinachangamoto zipi?nijuze na ubora kaka mshanaChangamoto iko kwenye vipuri
vipuri
pivipuri
vipuri vinachangamoto zipi?nijuze na ub
vipi honda fit sifa yake kwa ujumlaUbora ni kama gari nyingi za kisasa... Lakini juu ya yote gari ni utunzaji na kuzingatia service
ok.vipi upatikanaji wa vipur?Wonderful fuel consumption
asante sana.natumai kuna wanaomiliki gar hili.watupe uzoefu zaid.Mmh sio vingi kama vya magari ya toyota ila vipo
Kwa kujazia ulipoishia mdau, na kumsaidia alieleta shida hio, Toyota Cresta Super Lucent, Mark II Chaser, Matk II Blit na zote zinazotumia injini ya 1G ama VVT-i, inapotokea gari ikakatika timing belt usiilazimishe kuiwasha. Unapoendelea kupiga starter ikiwa haina timing belt (mzigo) inaua valve. Kwa hiyo utashangaa shida ndogo kama ya timing belt inakupelekea kufungua cylinder head yote ili kuondoa valve zilizopinda baada ya kulazimisha kuiwasha. Si wengi wana elimu hii. Hata kwa magari mengine, si busara kuendelea ku start ikiwa timing belt imekatika. Nawasilisha!Nimesoma kuanzia mwanzo mpka hapa ulipoiandika hii. Nilichojifunza ni kuwa gari likifikia km laki moja ni vzr kubadili timing belt, si busara kusubiri mpaka ikatike, madhara yake ndio kama haya, gharama zinaongezeka ktk utengenezaji as kuna hatari mifumo mingine ikaharibika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Matunzo yake ya kimiss si kama ya barmaid
Mshana jr, kwa uzoevu wako barmaid anahitaji matunzo sana, au ....!Matunzo yake ya kimiss si kama ya barmaid
[emoji109]Kwa uzoefu wangu watoto wa watu hawana makuu kabisa