Emmanuel S Jonathan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 379
- 278
Honda type zote ni gari imara sana na vipuri vyake ni origino. Spare zipo kila mahali kwa sasa na zaidi sana online purchasing yaani muda wa wiki 2 spare imekufikia. Vipuri bei ghari kidogo ukizingatia magari Haya ni expensive pia ni aina za magari ambayo ni economy fuel consumption class isipokuwa vimiminika vyake vingi ukiishiwa ni lazima uvipate vilivyo original ili kubadilisha. Spare zake ukizifunga ni mkataba
Sent using Jamii Forums mobile app
Aidha, kwa magari ya honda yaliyo (used) mapya mapya kiasi tembelea www.hondasunter.co.id
Aidha, kwa magari ya honda yaliyo (used) mapya mapya kiasi tembelea www.hondasunter.co.id
Pia kwa vipuri original tembelea www.jp-carparts.com na www.hondapartsnow.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Zote nzuri ila kama ni ishu ya mafuta chukua ya dieselWakuu naombeni ushauri nataka kununua gari Toyota town ace pickup nimesika kwamba kuna inayotumia petrol nakuna ya diesel pia. ipi nibora naombeni ushauri wenu plz
Sent using Jamii Forums mobile app
Gari ya kazi hiyo haina shida kabisaMzoefu wa Toyota probox please. .
-ulaji wa mafuta
-uimara
Spare zake nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna short kwenye wiring hasa kwenye huo mfumo wa gia, fuse kukata ni njia ya kuzuia madhara makubwa yasitokeeMitsubishi Rosa Automatic transmission kila mara inakata fuse ya hiyo , nini tatizo ? Ikikata gear haziji engage !
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sana mkuu JO AUTO TECH tujifunze wote mm mwenyewe ni mwanafunzi siunajua vile technologia kila siku inakuwa na elimu haina mwisho..so njoo tujifunze kwa pamoja .kama upo dar es salaam karibu sana mwenge
Mtafute@legeWadau Habari Za Jioni, Gari Yangu Ni Toyota Alphard, Tangu Nimeigiza haina Hata Mwezi, Leo Ghafla tu Kila Nikiwasha Ac Insletea hewa Isioeleweka, Joto Si Joto, Kiukweli Imeninyima Raha hii, Ukizingatia Mimi Mazingira Ya Joto la Dar Sijayazoea, & then Mimi Huku ni Mgeni, Sina Connection Yoyote
Angalia AC regulator switch isije ikawa umepunguza baridi na kuongeza joto bila kujuaWadau Habari Za Jioni, Gari Yangu Ni Toyota Alphard, Tangu Nimeigiza haina Hata Mwezi, Leo Ghafla tu Kila Nikiwasha Ac Insletea hewa Isioeleweka, Joto Si Joto, Kiukweli Imeninyima Raha hii, Ukizingatia Mimi Mazingira Ya Joto la Dar Sijayazoea, & then Mimi Huku ni Mgeni, Sina Connection Yoyote
Funga zinakaa bila tatizo hizo, tena zinaifanya gari yako iwe na muonekano mzuri!!..Wataalam was tairi nisaidieni je, ni salama kubadilisha size ya tairi kutoka 185/65r15 kwenda 195/65r15?