JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Ninkushtuka tu mkuu
Okay tatizo linaweza kuwa dogo kama ATF kuwa chache au la saizi ya kati kama kustuck kwa valve kwenye gearbox(Hapa uwezekano ni mdogo) au Linaweza kuwa kubwa kama kubadili au kuitrain upya control box ya gearbox/gari yako.
Kama upo Dar karibu.
Nikija Dar nitakufafuta mkuu shukran sana!
Mungu KwanzaNatamani kuijua nisan juke na je naweza kuipata kwa mtu namba c au d mkuu ?
17,000Natamani kuijua nisan juke na je naweza kuipata kwa mtu namba c au d mkuu ?
Chukua BMW hutajuta...take it from memsaada wadau, NNA MACHAGUO 3
1 . SUBARU XT 2010
2. BMW X3
3. NISSAN MURANO
Naomba maoni kitaalam kwa safari na ubora....(usiweke kigezo Cha Kula Mafuta)
Nihamie wapi katika Izo SUV?
10mWeka offer yako
Me ninayo ninatembelea Mimi ninauza njoo na ofa yako 0769508728Nipe muda
Hii Kama upo interested njoo tuongeeMe ninayo ninatembelea Mimi ninauza njoo na ofa yako 0769508728
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1534][emoji1548]Wanabodi,
Kwa kutambua wapo wadau humu wanaohitaji magari ya bei nafuu kutoka katika mnada wa TRA.....naomba kushare na ninyi uzoefu wangu kwa kupitia link hyo hapo chini.
Mnada wa TRA wa mtandaoni- Changamoto na maoni yangu
Lege....popote ulipo....tafadhali tuwasiliane inbox.
Au kwa yeyote mwenye namba ya Lege ya mkononi...naomba share with me inbox.
Asante wana jukwaa!