Kwa ugumu utapata lakini tegemea matengenezo mengi
Am sure ukiwa na 4m unapata kazuri tu
Brevs jamaa anaiuza kutoka tanga to dsm anakula wese mara 3 ni hatari kwamaisha ya mtanzania
Msaada wadau gari yangu taa ya mafuta inawaka muda wote haizimi licha ya kwamba mafuta ni yakutosha,tatizo limeanza leo jioni baada ya kutembea mchana wote nikapaki, kuja kuiwasha naona taa ya mafuta inawaka nikajua itazima wapi hadi nafika home bado inawaka... Gari Rav 4 Old Model ,Msaada Plz
Karibu sana wengine magari mapya na bomba kabisa wanayapatia kwenye minada bandarini kwa bei poa kabisa ukiwa tayari niambie tuu
solution nilisubilie litakaa sawa au nipeleke kwa fundi?Msaada Mshana Jr plzBoya la fuel pump limejam
jambo wadau.
Nina toyota hilux inatumia engen ya 3y. Ilianza kutoa mlio na kugonga kwenye mashine mafundi wakaifungua hivyo nikafanya overwhol na ikachongwa size 25.
Mashine imeshafungwa na kila kitu kiko ok tatzo imepoteza nguvu kabisa na inachelewa kuchanganya. Ukiwasha na kupga resi iko poa ishu haitembei unakanyaga mafuta inaenda kwa kusinzia. Bado iko kwa fundi hebu nipeni idea vitu vya kuangalia. Plugs zote zinachoma vizuri
jambo wadau.
Nina toyota hilux inatumia engen ya 3y. Ilianza kutoa mlio na kugonga kwenye mashine mafundi wakaifungua hivyo nikafanya overwhol na ikachongwa size 25.
Mashine imeshafungwa na kila kitu kiko ok tatzo imepoteza nguvu kabisa na inachelewa kuchanganya. Ukiwasha na kupga resi iko poa ishu haitembei unakanyaga mafuta inaenda kwa kusinzia. Bado iko kwa fundi hebu nipeni idea vitu vya kuangalia. Plugs zote zinachoma vizuri, taa ya oil inazima yan ishu ni power. Transmision ni automatic na oil yake iko ok