Nnaomba serikali ifungie mitumba yote ya magari.
Tunateseka na foleni.
Anaetaka gari anunuwe jipya. Amma kwa mkopo amma cash kwa fedha za wizi.
siyo magari tu, nguo, vifaa vya umeme etc vyote vipigwe marufukuNnaomba serikali ifungie mitumba yote ya magari.
Tunateseka na foleni.
Anaetaka gari anunuwe jipya. Amma kwa mkopo amma cash kwa fedha za wizi.
Nnaomba serikali ifungie mitumba yote ya magari.
Tunateseka na foleni.
Anaetaka gari anunuwe jipya. Amma kwa mkopo amma cash kwa fedha za wizi.
Nnaomba serikali ifungie mitumba yote ya magari.
Tunateseka na foleni.
Anaetaka gari anunuwe jipya. Amma kwa mkopo amma cash kwa fedha za wizi.
Kwani anayehitaji ni mwanaume?Yote magari ya kike hayo
Kwani anayehitaji ni mwanaume?
Ama kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa, mnaongea utadhani mnamiliki magari mapya!!