Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Inabdi tumuombe mwenyekiti Mshana Jr atuombee serikali ni kuwa wanywaji na wlevi tunahitaji waziri wetu maalum

Ova
Usifanye hivyo maana wanaweza kutupatia waziri kichaa ile kwetu.
Katibu mkuu umekuja kuwaje?.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Inabdi tumuombe mwenyekiti Mshana Jr atuombee serikali ni kuwa wanywaji na wlevi tunahitaji waziri wetu maalum

Ova
Ombi limepokelewa ndugu katibu ngoja niandae petition tuipeleke bungeni
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Inabdi tumuombe mwenyekiti Mshana Jr atuombee serikali ni kuwa wanywaji na wlevi tunahitaji waziri wetu maalum

Ova
Ombi limepokelewa ndugu katibu ngoja niandae petition tuipeleke bungeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…