Ulanzi unaweza kuudharau lakini una stimu moja ya hatari,hivi hapa nakula zangu lita 2 afu nazama grocery kusukutua na safari mojaGonga ulanzi mwanawane!
Umenikumbusha mitaa ya mashine 3 IringaUlanzi unaweza kuudharau lakini una stimu moja ya hatari,hivi hapa nakula zangu lita 2 afu nazama grocery kusukutua na safari mojaView attachment 2929546
Pombe ya taifa kwa vijana maskini
Thats true!Ni balaa wakuu,
wakat ukinywa pekeako 40%%% alcohol ukijitahid Sana 750mls wewe Ni kidume
Ukinywa 40%%% alcohol sana Sana 350mls ndani ya masaa mawili lazima uwe very gentleman
Na hapo ukichua expensive drinkin haitofika hata 20k hio nime exaggerating
C&p