So ijalala mpk sa hivi aise naona nawapa wachaw wakat mgum [emoji23] [emoji23]Itakua ufagio ,nasikia ile ni jet tosha [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Duh hHapana ile unatumia muda... Hii latest unafumba macho sekunde 9 ya kumi ukifumbua umefika
JLW sipo huko aiseeeeee.😂😂😂😂 Mod washaupeleka
jukwaa la Wakubwa
Mshana hi sheria ya kupangiana muda wa kunywa mi inaniboa sana yaani kudadeki muda si mrefu nimekuja kutoa lock chobingoNakushauri usiende
Juz kati walikuja na noah wakanikata nikawapa 20 na mwenye grocery 20 wakasepaMshana hi sheria ya kupangiana muda wa kunywa mi inaniboa sana yaani kudadeki muda si mrefu nimekuja kutoa lock chobingo
Dukani kwa nyuma tena naambiwa nipige fasta.....ahh shit
Kama mwenyekiti Inabidi tufikishe malalamiko yetu maana huu ni ujinga a ahhhh
Ova
View attachment 878210
Mkuu nadondoshea Valeur ndogo hapa si mchezo utafkir nimekula kiaz cha moto hlo joto hapo tumboni na hli jua la hapa kazi tuNimepimiwa ya buku mbili
Najisikia vizur sasa
Huon tayar umepoteza hela ya kreti na chenchi ya kumpa wife inabakiJuz kati walikuja na noah wakanikata nikawapa 20 na mwenye grocery 20 wakasepa
Duh pole hyo 20000 ungepiga bia za kutosha Inabdi serikali iruhusu tu watu tunywe 24/7 hadharani maana mambo ya mpka saa 10 ni uzushi tuJuz kati walikuja na noah wakanikata nikawapa 20 na mwenye grocery 20 wakasepa
Dah ndugu katibu hii sio sawa kabisa tunahitaji kikao cha dharura ASAPMshana hi sheria ya kupangiana muda wa kunywa mi inaniboa sana yaani kudadeki muda si mrefu nimekuja kutoa lock chobingo
Dukani kwa nyuma tena naambiwa nipige fasta.....ahh shit
Kama mwenyekiti Inabidi tufikishe malalamiko yetu maana huu ni ujinga a ahhhh
Ova
View attachment 878210
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hauko mwenyew aisew inabd nieke restaurant nyumban kabsa maana kama hapo ndo naagza Valeur niidondoshee chap nimeomba ruhusa ofisi kuwa nakwenda bank ku withdraw hela kumbe ni kiu imebana
Tunatengwa Wakati wazinzi wenzetu wanafurahia magesti muda huuDah ndugu katibu hii sio sawa kabisa tunahitaji kikao cha dharura ASAP
Kbsa ahh mm na ingia humu li wale na liweDah ndugu katibu hii sio sawa kabisa tunahitaji kikao cha dharura ASAP
Wkt sisi tu nachangia mapato ya nchi sanaTunatengwa Wakati wazinzi wenzetu wanafurahia magesti muda huu
Kivulini bar, Kino road,Hapa komakoma eeh