Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Nakushauri usiende
Mshana hi sheria ya kupangiana muda wa kunywa mi inaniboa sana yaani kudadeki muda si mrefu nimekuja kutoa lock chobingo
Dukani kwa nyuma tena naambiwa nipige fasta.....ahh shit
Kama mwenyekiti Inabidi tufikishe malalamiko yetu maana huu ni ujinga a ahhhh

Ova
 
Mkuu hauko mwenyew aisew inabd nieke restaurant nyumban kabsa maana kama hapo ndo naagza Valeur niidondoshee chap nimeomba ruhusa ofisi kuwa nakwenda bank ku withdraw hela kumbe ni kiu imebana
 
Juz kati walikuja na noah wakanikata nikawapa 20 na mwenye grocery 20 wakasepa
 
Dah ndugu katibu hii sio sawa kabisa tunahitaji kikao cha dharura ASAP
 
Mkuu hauko mwenyew aisew inabd nieke restaurant nyumban kabsa maana kama hapo ndo naagza Valeur niidondoshee chap nimeomba ruhusa ofisi kuwa nakwenda bank ku withdraw hela kumbe ni kiu imebana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…