namfahamu[emoji144][emoji144][emoji144]Mdogo wangu anambwembweee.........
Company yake ndio hio,afu anajifanya kaweka chupa ya Pepsi kwa mbele yake.
Wakati najua anawekaga vyombo...
ID yake sijui Ni ipiii ila atajiona tuuView attachment 880154
Basi karibu familiaaaaaaanamfahamu[emoji144][emoji144][emoji144]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umo wazungu kibaoMdogo wangu anambwembweee.........
Company yake ndio hio,afu anajifanya kaweka chupa ya Pepsi kwa mbele yake.
Wakati najua anawekaga vyombo...
ID yake sijui Ni ipiii ila atajiona tuuView attachment 880154
Ahhhh nmepita sehemu napiga bia lkn kwa shida ahhh mateso haya [emoji23]Chamdeko huyoView attachment 880160
Safi leo tuko pamoja ILA sheria hii ya kupangiana muda wa kunywa haifaiChamdeko huyoView attachment 880160
Chuga kwa morombo kwa mambishi kuna mbuzi tamuNipe location.... Nanukia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimekuwa mtamu kuzidi mcharo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
KabisaHapo ni kwa ungo sharp kwa haraka
Ungo utachelewa mkuu!!Hapo ni kwa ungo sharp kwa haraka
Mm nlianza mapema kwa mangiWeekend ndo imeanza wadau pande zipi