Katibu hiyo codes zimeshindwa kumach[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pharmacy na safari?Dah jna jzi leo nimeonganisha
Tungi Balaaaaaa
OvaView attachment 881748View attachment 881749View attachment 881750View attachment 881751
Hahaha, Swahili yao iko nguvu ,ya kwetu wanaita Swahili boraNakipenda sana kiswahili cha kikongo
Jana nilizidisha Absolute hadi sijui nimefika vipi home hahahahaha sasa leo mwili umegoma kupokea alcoholToa oooh sorry I mean weka location.... Wadau wafanye 'The needful'
Acha kabisa jana ijumaa ilikuwa balaa leo acha nikamate maji angalau ni flashKwann sasa,mudada murembo kama wewe ukunywe mayi ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hebu fanya maarifa apate pepo ya dunia
Hahahahaha kesho nitatoa location leo nalala mapema kama kukuAkikupa 'location' niambie nimmruhusu 'wakala' afanye muamala ,week end hii sio vzr 'mwanachama' akalala na KIU
Siku haziishiPoleee mama,ningekua mjini ningekuita
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Siku haziishi
Kwa kwelii siku haziishi,ngoja nikiwa mjini wengi tutaburudika sanaSiku haziishi
AbsolutelyHuyu ndio mpendwa wangu/kipenzi cha roho yangu/nyongo mkalia IniView attachment 881511
HazileweshiSijaona mtu aliepost
Burudani
Chibuku
Hizi hazina watumiaji au?
Oyaa Chaliii ushaaanza kulewa si buree[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tuko pamoja ai se hpa nme0zza [emoji23]a kbsa tairo ananipa vyombo
DDOs unamaanisha Daily Drinking Officers?Halafu ikiwezekana DDOs wa humu tukutane siku Moja Moja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hiyo simu ya jirani nimeipendaKuna watu wanakunywa konyaji jamani duuh..View attachment 881844
Katibu ilikua hatari hiyo kuliko kawaida.