Huu Uzi mtam zaidi ya ule wa makapuku babe..[emoji23]
Ohooo fanya upone kesho babe wangu pulizzzzz
Karibu Chama la wanywaji +walevi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimeupenda huu uzi babe uwe endelevu
Karibu Chama la wanywaji +walevi
Ova
Nasogea mk muda si mrefuNdio chama langu hilo maisha yenyewe ndio hayahaya acha tujilewee tu
Babe, huendi mbinguni ww..😂Weeeh shindwa acha kufananisha nyumbani kwangu makapuku na huu uzi kule home sweet home mfyuuu [emoji23][emoji23]
Nasogea mk muda si mrefu
Ndy maisha yetu haya
Baada ya mishe ni tungi tu
Ova
Ukipiga ngumu kumeza unaiona sura ya babu yako kupitia ww
Babe, huendi mbinguni ww..[emoji23]
Ah ndy zetuWouzeer wouzeer [emoji91][emoji91][emoji91]
Jamani tuwe makini na hizi picha isije wasiojulikana wakachukua advantage kutrace wapi tulipo tukadakwa.
Hamsha Popo hamsha PopoooAh ndy zetu
Muda si mrefu nazama masai
Ova
Oya,me nahamia kili tena,kvant ishaniwasha fresh nikipiga kili tatu hapa nawah home chap,hata mama chanja halalamiki kuchelwa🤣🤣🤣🤣🤣Ah ndy zetu
Muda si mrefu nazama masai
Ova
Mkuu bado hujatoka ofisini tu???au ushaaanza kuzimua tayari??Jamani tuwe makini na hizi picha isije wasiojulikana wakachukua advantage kutrace wapi tulipo tukadakwa.
Hamsha Popo hamsha Popooo
Tupo wengi tuu wa Siasani hapa,nawaasa Makamanda wenzangu wasijisahau hasa kwenye settings location ya simu na camera ni sumu.Sasa frank unaogopa ww unashinda siasani jamani