Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Nalipa kodi kimya kimya Na plisner king asije akasikia mana nimemwambia nipo job bado kuna breakdown imetokea suddenly nilivyokuwa nataka kutoka
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaká angu hiko ndio kinywaji changu mm sinywi chochote zaidi ya hiko labda boha nikiwa tanga kwetu
Leo umenikumbusha myusi enzi za 1993 nikiwa naenda likizo kwa broo alikua kikazi pale dah!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…