Nakuelewa sana shida unajikuta unabukta tu na katishet mbaya umebeba walet ina kadi ya ATMHahahahaha acha kabisa hiyo siku ilikuwa balaa. Supu saa 4 kurudi home 7 uck kidogo niahirishe safari
Hahahahaha inanogaga sana hiyo ya kushtukiza hukumbuki kurudi homeNakuelewa sana shida unajikuta unabukta tu na katishet mbaya umebeba walet ina kadi ya ATM
Safi sanaLeo nipo katika Harusi ukumbini nalipa kodi kama kawaView attachment 905311
Unarudije sasa!! Shoo za kibabe zaidiHahahahaha inanogaga sana hiyo ya kushtukiza hukumbuki kurudi home
Mlianza meza mtu bee hadi usiku mmeunga meza 2Unarudije sasa!! Shoo za kibabe zaidi
The Kings finestSpirit of africaView attachment 905374
Area codeHesabu inaendelea.. naona tunapeana shift ya kulipa kodi.View attachment 905470
Mkuuu wangu bdae mchana tukutane maeneo aiseeNjoo oriento toka malindi kunaushetani mkuu.
Naondoka Leo Mimi narudi kwa mjiniMe ndo nimetoka Moro Leo asbh nimekuja home kimsalimia bi mkubwa chap...km utakuepo hd next week nitakukuta
Nkioldjhurowmzjfoemzkdoebgjtuladfoercl.Co estas mi amigos sí...Nimeamka na hangover nawasalimu ki spanish sijui nimepatia...ngoja nikazimue kwanza[emoji125]
Poa we.utatoa lokesheni mi ndio naenda kuzimua rau pub.Mkuuu wangu bdae mchana tukutane maeneo aisee
Karibu mi ndionawasha efd sasa.Nishakula 2 hadi sa hivi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nkioldjhurowmzjfoemzkdoebgjtuladfoercl.
Dah! Ngoja nikazimue nimeshindwa hata kuwasalimia. Nilichoandika msitari wa juu nisaidieni kuediti ni mambo ya kilevi tu wadau.