Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

NISUBIRI HAPO MPWAA YSIOGOPEE NAPIGA BEERE MBILI SIO KAMA DEO KWIKWI
Kuna dada mmja kufungua ki pub chke Inaitwa kifurushi pub safari ndg 1400
Pombe zote bei cheeee anasema tukajiunge kifurushi Sema mwananyamala kisiwani ndani kuna masela hko balaaa Roba nje nje
Wakati naenda hko leo lazima nimptie mwanangu dullah mbabe [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Anipe tag

Ova
 
Dodoma napakimbia soon nimekuja tu nasepa kama popo, eti mhudumu ananiuliza ninaonekana nina mawazo tatizo nini, hapa nampigisha stori za uongo tu ila hajui tayar nina bajet yake na nauli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…