WAPIIWEKEEND JAMANI MSIOGOPE NINA POMBE ZA UBBERAseeee [emoji53][emoji53]
HahahaaaahatareeMints[emoji39] View attachment 927937
Hamjambo ndugu, aliyeko dodoma ajongee Malaika Club tulitafute jua la asubuh
Boss hujavesha tu?Nakuja huko mwisho wa mwezi
Wap mkuu?WAPIIWEKEEND JAMANI MSIOGOPE NINA POMBE ZA UBBER
WAPI JAMANI WEEKEND NIKO NA BEER ZA UBERWa kubwa kumekucha sasa njooni tule gambe
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]N
ATOKA TANKIBOVU NAELEKEA MWENGE UJO AAPIMPWA
Saa hii mida ya wanga katibu... Tuwaachie watambe
Hahahahha hata ukisukuma mtama uliochachushwa saaafff
NISUBIRI HAPO MPWAA YSIOGOPEE NAPIGA BEERE MBILI SIO KAMA DEO KWIKWINetwork inasearch lkn
Ova
Nakuja na Transit moja kwenye mishe za mbao mkuu nitakutafutaNjoo ulewe acha maneno mingi
Nakuja na Transit moja kwenye mishe za mbao mkuu nitakutafuta
Hayo ndio maneno
Kuna dada mmja kufungua ki pub chke Inaitwa kifurushi pub safari ndg 1400NISUBIRI HAPO MPWAA YSIOGOPEE NAPIGA BEERE MBILI SIO KAMA DEO KWIKWI
Mkuu kna kiwanja kinaitwa 5n opp na mlimani ni shida nataka niende ila nimeitwa uswazi kuna ki pub fulani pia nataka kwenda sjui njigawe vpHayo ndio maneno
Wapi hapo mkuu,na sisi wa mikoani tukija mujini tukujue japo beer inanizingua ntapiga hata shots mbili za tequila.Burudani tupuuuView attachment 927859
Mkuu kna kiwanja kinaitwa 5n opp na mlimani ni shida nataka niende ila nimeitwa uswazi kuna ki pub fulani pia nataka kwenda sjui njigawe vp
Ova