Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mi nikinywa pombe za mbali kwanza silewi. Ndo maana nishazoea kulewea mikocheni ili iwe rahisi kufika home. Nikinywa sehemu kama tabata hata ninywe bia 20 silewi ng'oo. Akili inajitune niko mbali na home sitakiwi kulewa..
Sijawahi kuweza pombe ya mbali na home maana nikipiga kidogo tu akili inataka kitanda kiwepo karibu.

Nikiwa sipo maeneo ya home nitakuwa nazuga tu bia moja nitailamba masaa
 
Mi nikinywa pombe za mbali kwanza silewi. Ndo maana nishazoea kulewea mikocheni ili iwe rahisi kufika home. Nikinywa sehemu kama tabata hata ninywe bia 20 silewi ng'oo. Akili inajitune niko mbali na home sitakiwi kulewa..
Siku ukiwa Tripple B nitag nije hapo maana ndio mitaa yangu ya karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…