Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Pombe za bei rahisi nishashau siku mingiiiiii

Level langu kuanzia vyupa vya 30-300k hapo ndo tutaheshimiana tu
 
Nampataje huyo ngekewa. Wewe hapo porini Msata ndio rahisi kuyapata maana hata nikimwona sitamjua huyo ngekewa [emoji23][emoji23]
Niko Lugoba naona kama ni kazi ya mtego... Napiga tungi hapa Lugoba inn lakini kwa machale sana
Huyu demu mtafutie manyoya ya ngekewa tu kwisha kazi yake
 
Pombe za bei rahisi nishashau siku mingiiiiii

Level langu kuanzia vyupa vya 30-300k hapo ndo tutaheshimiana tu
Sasa kigori mzuri kama wewe hata ukitaka vyupa kama hivi vya Christiano ya Million 80 kwa robo saa si mabazazi yanakununulia fasta tu mrembo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…