Mada maalumu kwa walimu wa Serikali

Mada maalumu kwa walimu wa Serikali

ARISTOTLE79

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2015
Posts
451
Reaction score
139
Habari wadau,

Leo nimeona nitumie wasaa huu kuwa msaada kwa walimu wa shule za serikali kuhusa Mambo mbalimbali yahusuyo UTUMISHI wao:-

1.Ajira
2.Kuthibitishwa kazini
3.Kupanda daraja/ cheo
4.Kustaafu
5.Kuazimwa/ secondment
NK
Niulize nikushauri:


NB:- usiniulize kuhusu uhamisho, kupangiwa kituo, sio specialization yangu.

Karibuni sana
 
Ok,vp khs kupandishwa daraja,after tym gn,na ni nn hubadilika baada ya kupanda daraja?thnx
 
Mkataba Wang wa Kaz unasema lazima kutumikia miaka 5 katika fan hii ya ualim ndo unaweza kuhama wizara sasa Mimi Nina miaka 7 kwa saiv nasikia hakuna kuhamia wizara nyingne hi inakuaje?
 
Back
Top Bottom