Ulozi + mapenz tunapata Nini[emoji4][emoji23] pale mchawi anapohamia kwenye ulimwengu wa mapenzi!
Ha ha ha.....Jamani msifikie huko..[emoji23][emoji23] ila huu uzi Ni batili baby jifanye Kama hujauona hivi[emoji1787][emoji1787][emoji12]
Apo kwenye Raha kujipa mwenyewe.
Kuna watu wataelewa umemaanisha Kufunga goli la NAPE NAUYE[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sanaaa anko Dereva😘😘😍😍😍🥰🥰Pamoja aunt abiria 😘😘
Mnapata limbwata..😂
Abee ankal.Ankal[emoji23][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
Hakyamungu wee jamaa Faller Sana[emoji1787]Mnapata limbwata..[emoji23]
Mkuu mpaka umeapa kabisa..🤣
Ohooo….same here ankal🥰🥰You are missed ankal
Na ukiwa abiria hakuna raha kama kulipa nauli ili ujihakikishie siti ya kufika salamaUkiwa dereva hakuna kitu kizuri kama kumfikisha abiria mahali anaenda...
Na wamkaribisha tena siku nyingine arudi panda gari yako