Mada: Rasimu ya Pili ya Katiba - LIVE star TV

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,277
Reaction score
8,860
Mjadala unaendelea sasa hv star tv wageni ni mkinga na wengine mnaweza kufuatilia mjadala huu sasa.
 
Mkinga ni muumini wa serikali 2 na anazitetea kwa nguvu hadi sauti inamkwama nilimwona ch10 kama wk 1 iliyopita

Mjadala unaendelea sasa hv star tv wageni ni mkinga na wengine mnaweza kufuatilia mjadala huu sasa.
 
Kuna kipindi kipya star tv mda huu kinaitwa "kuelekea 2015" Ni mjadala mkali sana,kuna wageni wanne;wawili studio za mwanza na wawili studio dar es salaam.Renatus Mkinga ndani ya studio za dar!
 
Kuna kipindi kipya star tv mda huu kinaitwa "AJENDA 2015" Ni mjadala mkali sana,kuna wageni wanne;wawili studio za mwanza na wawili studio dar es salaam.Renatus Mkinga ndani ya studio za dar!
 
Cyo kwamba wanaongelea rasimu ya 2 ya katiba?
 
inawezekana kashanunuliwa nini maana alipotea siku mbili tatu zilizo pita, chezea magamba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…