MADA: Tatizo la Watoto kuchelewa kuongea. Ni kipi chanzo chake? Je, nawezaje kutatua tatizo hili?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Huyu alikupenda ulikuwa unamsikiliza na kumjibu! Wengine hawana time na watoto!!

Hongera sana
 
Unanishawishi nimpeleka day care labda atabadirika
 
Inategemea NZANZI na NZANZI Mkuu πŸ˜‚
mkuu bak πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜… nzanziii mwingine anadhani mtoto ataanza tu kuongeaa aaha baaa...wacha wutani huoo
 
Reactions: BAK
Sio dalili mbaya kama anaweza sema aaah eee.....ni improvements kubwa sana....sehemu yangu ya kazi watoto wengi hadi 4 years huwa wanakuja wanashindwa kuongea, wazazi huwa wanaleta majibu ya madaktari kisha sisi huwa tunawabadilishia lugha kutoka kiswahili kwenda kiingereza

Baada ya muda huwa wapo vizuri sana, pia mtoto akae mazingira yanayomruhusu kujifunza lugha kwa kusikia both sauti na milio, awe anasikia maneno mengi na sauti nyingi kwa siku zile ndizo zinamsaada katika kujifunza lugha....i mean mchanganye na mazingira ya waongeaji na watoto wenzie wanaocheza na kutamka maneno mengi ile inastimulate ubongo wake na mdomo kukaza mwisho ataweza kuanza kutamka.....

NB: nimetumia taaluma ya elimu ya cambridge na maelekezo yake kwaujumla, mimi sio daktari ni mwalimu.
 
Mama yake anamsomeaga moja, mbili... Hadi 10
Kuna wakati tunamsikia anayarudia kwa tabu ila ni mara chache sana ukitaka arudie harudii hadi wakati mwingine tunakua wala hatutarajii
Vuta msuli hakikisha kila siku unatumia nusu saa asubuhi na nusu saa jioni ni wewe na yeye tu. imba nae nyimbo za chekechea, tafuta vitabu vya watoto mzoeshe simple words. Chair, spoon, tea, cup.

Inawezekana Kiswahili ubongo kimekua mgumu kwake jaribu maneno ya Kiingereza. Kiswahili atajua baadae.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Huyu alikupenda ulikuwa unamsikiliza na kumjibu! Wengine hawana time na watoto!!

Hongera sana
Nafikiri mzazi anapaswa kutenge eza upendo ili kumaintain bond kati yake na mtoto
 
Hahahahahahaha hadi raha
 
mkuu mm wangu ana miaka mi 4na miez miwili n wa kike.. lakin anaongea mambo ambayo ata hayaelewek. kuunganisha maneno hawez kabixa. lakin baba mama dada kaka bibi anajua kila kitu
Mungu amsaidie aweze kuongea kabisa, hapo ni kumuweka mazingira ya watoto wenzie wanaojua kuongea ajifunze maneno mengine, watoto huwa walimu bora wa watoto wengine kuliko sisi wakubwa ambao mtoto anaweza asijifunze kutokana na sababu nyingi ikiwemo uoga.
 
Sina uzoefu sana na hili ila jaribu kumpeleka shule za vidudu akachanganyike na wenzie, wataalam wanadai inasaidia

Nilimpeleka shule mwalimu akamtandika sababu mtoto haongei ila mtundu!! Inakuwa kama anafanya kile anataka yeye, baada ya kutandikwa na mwalimu aligoma shule!! Hakwenda tena mpaka umri ulipofika wa kuanza shule, tukamuanzisha upya!!

Walimu wa kibongo ni tatizo sana, wanapiga watoto!!!
 
Akisomewa 1,2....5.. 10 na mama yake inaweza pita muda utakuta anayarudia peke yake kwa tabu
 
Mama yake anamsomeaga moja, mbili... Hadi 10
Kuna wakati tunamsikia anayarudia kwa tabu ila ni mara chache sana ukitaka arudie harudii hadi wakati mwingine tunakua wala hatutarajii

Huku mbali sana, anatakiwa asemeshwe!! Unampa chakula unamwambia 'njoo ule', 'unakula' unamuona anajisaidia unamwambia 'mtoto anapuu'.

Hizo moja tatu hazimjengi kwa sasa
 
Hapa home naishi na mke wangu na hatoki nae nje mara nyingi wanashinda ndani kuna mtoto wa jirani ucheza pamoja nae anajifunza kuongea ila Nazani nimpeleke daycare
 
Anajikojolea tu hasemi chochote, maji anaenda kuchukua kikombe anakuletea, ukimwambia njoo anakuja
Hakuna tatizo hapa, inaonekana huyo mtoto mda mwingi anakaa peke yake au anaishi na watu wazima, tafuta watoto wanao endana nae kiumri au walio mzidi kidogo mchanganye nae au tafuta watoto viongeaji sana mchanganye nao, fasta tu mzee...

Kuna mtoto wa ndugu yangu wa kike yaani miaka mitatu hajui kuongea, bahati nzuri kwa jirani kukawa na katoto kamehamia dah haikuchukua mwezi
 
Mkuu unanitamanisha ni raha sana mtoto akianza kuongea
Nitajaribu kumchunguza ulimi wake ila kuhusu nyama ya utumbo sina ujuzi labda wadau waongezee
 
Pia katika kutumia english hebu maneno magumu asiyajue kukojoa ajue Susu na kujisaidia haja kubwa aseme pupu. mimi susu (anataka kukojoa)
 
Hapa home naishi na mke wangu na hatoki nae nje mara nyingi wanashinda ndani kuna mtoto wa jirani ucheza pamoja nae anajifunza kuongea ila Nazani nimpeleke daycare
Labda upate day care nzuri!! Si recomend! Hizi changamoto zako nilipitia, day care aliishia kutandikwa na waalimu na nililipa hela mingi!

Then kumbuka mtoto haongei, so waalimu wanam-treat wanavyojisikia!! Mtoto alipokataa shule nikafanya uchunguzi ndiyo nagundua tatizo, namfikishia malalamiko mwenye shule akafukuza bure wadada wa watu, nikabaki naumia roho tena!!

Fanya niliyokuelekeza, ndicho nilishuriwa na mtaalam wa saikolojia nikafanya hivyo na improvements zikaja fasta sana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…