Nasema hivi mchumba hasomeshwi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Japo kuna watu wengi tu humu wanasomesha wachumba zao na kuna wengine walisomesha na kipindi hiki wanajuuuta na wengine wanafurahia matunda ya kusomesha wachumba zao.
Ila kwangu mimi narudia tena kwa herufi kubwa tu kuwa MCHUMBA HASOMESHWI