1. Ibada na kusaliIbada na kusali [emoji144][emoji144][emoji144]
Jr[emoji769]
View attachment 1385374[emoji1787][emoji1787]
ngezea hapo kubetiNaileta mada hii kwa heshima kuu ya Slim5 aliyeulizia kwenye uzi wa walevi kuwa wasio walevi wakachangie wapi
Duniani hakuna mtu asiyekosa kilevi chake... Kilevi ni starehe na starehe ni hobby
Kama ulikuwa hujui hata kuua ni starehe.. Kilevi ni starehe na starehe furaha pia... Vilevi maarufu vilivyozoeleka ni pombe na ngono lakini nyuma yake kuna msururu mkubwa
Kuna baadhi yetu kilevi chetu kimoja tuu
Bangi, sigara, kubeli, mirungi, gozo, ugoro
Kula
Ngono
Chabo
Mpira
mazoezi
JF
Kulala
Uchawi
Umbea, majungu [emoji23]
Wizi
Kujichua
Ubazazi
Mziki, club, vigodoro nk
Basi kwa post hii.. Nawakaribisha wote waliokuwa wanapata tabu ya kukosa uwanja wao.. Hata wale wa vilevi zaidi ya kimoko karibuni tuu
Jr[emoji769]
Hapana mkuu ww ni mlozi usijifunike shuka la kusali.Ibada na kusali [emoji144][emoji144][emoji144]
Jr[emoji769]
Watu wa Mbeya kama kuna ukweli wao na kuimba, hongera ila ni vizuri useme na ule mwingine baada ya kuimba
Aki watu wooote huku wanakujua ww ni mlozi na mtu wa bapa kama yule mtumishi pale kibangu. Leo uwe mtu wa salaaa ?? Au ndo uzee wa shetani anakuwa malaika ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji44][emoji44][emoji24][emoji24][emoji24]
Jr[emoji769]
Aki watu wooote huku wanakujua ww ni mlozi na mtu wa bapa kama yule mtumishi pale kibangu. Leo uwe mtu wa salaaa ?? Au ndo uzee wa shetani anakuwa malaika ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhahahahaha nitakata rufaa sio siri na nikifika mbinguni nikukute nitakuwa radhi kwenda motoni tu nitaona si sawa kuwa na ww mbinguni.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji44][emoji44][emoji44][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wakati si milele... Na Tazama siku ya mwisho watu wawili watakutwa kilabuni wakinywa pombe... Mmoja atatwaliwa (mimi) na mmoja ataachwa (wewe) [emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]
Jr[emoji769]
Hahahhahahahaha nitakata rufaa sio siri na nikifika mbinguni nikukute nitakuwa radhi kwenda motoni tu nitaona si sawa kuwa na ww mbinguni.
Sent using Jamii Forums mobile app