Mada ya vilevi vingine

o
ngezea hapo kubeti
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji44][emoji44][emoji44][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wakati si milele... Na Tazama siku ya mwisho watu wawili watakutwa kilabuni wakinywa pombe... Mmoja atatwaliwa (mimi) na mmoja ataachwa (wewe) [emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]
Aki watu wooote huku wanakujua ww ni mlozi na mtu wa bapa kama yule mtumishi pale kibangu. Leo uwe mtu wa salaaa ?? Au ndo uzee wa shetani anakuwa malaika ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Hahahhahahahaha nitakata rufaa sio siri na nikifika mbinguni nikukute nitakuwa radhi kwenda motoni tu nitaona si sawa kuwa na ww mbinguni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…