Hujamkuta ana kula miwa!Kinachonifanya niungane na swala 5 kuamini kuwa nguruwe ni mnyama aliyelaaniwa ni kitendo cha mnyama huyu kushindwa kuangalia angani
Ukatili wa kijinga sana mijitu mieusi sijui walitoa ule ubongo wa maamuzi sahihi wale wengine wanachoma vifaranga kutoka Nje..Ng'ombe wanne wa wakazi wa kijiji cha Kegonga Wilayani Tarime wamepigwa risasi na askari wa Hifadhi ya Serengeti kwa tuhuma za kuingia hifadhini,wananchi hao wameeleza kuwa askari hukamata ngo'mbe wao na kuwadai fedha na wasipotoa fedha ng'ombe hao hupigwa risasi ama kutaifishwaView attachment 2436330View attachment 2436331View attachment 2436332