Mada za BBC na picha zao zina malengo gani?

kissa anyigulile

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2017
Posts
1,550
Reaction score
1,742
Natumia laini ya Voda, mara zote lazima ni Google kuingia kwenye mtandao fulani. Sasa, Mimi binafsi, huwa nakerwa na mtindo huu ambao BBC wameanzisha, nadhani kwa kushirikiana na Vodacom.

Mada iliyohewani hivi sasa ni: "Nilijiuza Kimwili Kukidhi Kiu Yangu ya Mihadarati" imeambatana na picha ya mdada amayejinadi hivyo. Ebu wadau toeni mawazo yenu. Itakaa hapo karibu mwezi mzima.
 
Sasa hapo vodacom inahusikaje?
Alaf hizi mada ili uzielewe inabidi ufungue hizo link ili kusoma hio habari kwa undani zaidi maana mara nyingi unakuta ni story ya mtu inayo elezea majuto yake kwa kitendo alichokifanya
 
Mada iliyohewani hivi sasa ni: "Nilijiuza Kimwili Kukidhi Kiu Yangu ya Mihadarati" imeambatana na picha ya mdada amayejinadi hivyo. Ebu wadau toeni mawazo yenu. Itakaa hapo karibu mwezi mzima.

Mada ni kujiuza kimwili, na ndio maana kuna picha ya mtu mwenye mwili...

Au ulitaka waweke picha ya skeletoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…