Mada zilizopo JamiiForums zinaonesha kama taifa vitu tunavyopenda au ni umri tu?

Mada zilizopo JamiiForums zinaonesha kama taifa vitu tunavyopenda au ni umri tu?

passion_amo1

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2023
Posts
1,828
Reaction score
3,922
Wakuu habari za Jumatatu?

Leo nimeamka zangu asubuhi nikiwa nasema kama na TT wa kwenye treni wakinizingua kama wiki ile iliyopita Ati kwamba chenji hakuna niende nikalipie getini nitampa njia sahihi ya kufanya kazi yake.

Hii kitu inaniudhi sana sijui ndio kweli sarafu hazipo kwenye mzunguko au ni vipi? ILA Leo nilikuwa nikitoka nyumbani na Mke wangu tunaelekea kusaka riziki yetu nikaona kama kuna kitu kimedalika sana.

Siku hizi kuna nyuzi nyingi sana za ngono, Leo jumatatu mtu anaamka na nyuzi kwamba mama zetu waligongwa nje?!! Kweli jamani wakuu Jumatatu?😂

Kuna nyuzi nyingi sana za kuhusu ngono, na ndio nyuzi ambazo zinapendwa sana.

Sasa ni kwamba hawa ni watu ambao hawana kazi za kufanya hivyo wanajaribu ku-socialize au ni inaonyesha kama taifa ni vitu tu ambavyo tunavipenda?

Jamani vijana Embu tujaribu kuandika vitu chanya ambavyo vitatusaidia kuvutana.

Tujichanganye tujichanganye tujichanganye

Nitarudi baadae kuwapa ushuhuda wa rafiki yangu huyu aliyenistaajabisha.

Niwatakie Jumatatu njema katika kulijenga taifa.
 
Sidhani kama kuna starehe zaid ya ngono

Mada zenye kujenga kuna mda inakuwa kama theories tu hakuna maajabu lakin pia sometimes inachosha hivyo ndipo mtu anapoamua kuzungumzia ile kitu nafsi inapenda
 
"Umeanka asubuhi na MKE WAKO kwenda kutafuta riziki", wewe unayo ndani kila siku unalala nayo ukigeuka hii hapa muda wowote unaitafuna ya mke wako, maana yake unayo ndani ndio maana unajeuri tumia maarifa yako kuwaza kuhusu wasio na wake wanafanyaje kukidhi hitaji lao la kibaiolojia?
 
🤣🤣🤣daaah sema kama kuna ukweli ila shida January ngumu halafu majobless wengine hapa tupo daah.
Kweli tusipopambana hii serikali haina muda tutazeeka na Kuitwa babu jinga na watoto na wajukuu zetu.
 
Sidhani kama kuna starehe zaid ya ngono

Mada zenye kujenga kuna mda inakuwa kama theories tu hakuna maajabu lakin pia sometimes inachosha hivyo ndipo mtu anapoamua kuzungumzia ile kitu nafsi inapenda
DAah hatari sana hii mkuu!
 
"Umeanka asubuhi na MKE WAKO kwenda kutafuta riziki", wewe unayo ndani kila siku unalala nayo ukigeuka hii hapa muda wowote unaitafuna ya mke wako, maana yake unayo ndani ndio maana unajeuri tumia maarifa yako kuwaza kuhusu wasio na wake wanafanyaje kukidhi hitaji lao la kibaiolojia?
Si wanao wapenzi mkuu.
Au ?
 
Back
Top Bottom