Madada wa HIARI

Binti Magufuli

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2011
Posts
7,479
Reaction score
5,157
Kila siku ni wachumba wanatafutwa sasa mimi nimeamua nitoke hivi. Nimekuja kivingine leo Natafuta madada wa hiari. Miaka yao angalau iwe 30-40. Sifa nitakupa PM utakapoonesha nia.
Kama uko tayari ni PM.

MBN
 
nipe job description kwanza
 
Kila siku ni wachumba wanatafutwa sasa mimi nimeamua nitoke hivi. Nimekuja kivingine leo Natafuta madada wa hiari. Miaka yao angalau iwe 30-40. Sifa nitakupa PM utakapoonesha nia.
Kama uko tayari ni PM.
MBN

utajali kabila /dini/rangi/shepu umbile?
 
Haya hayana nafasi ila kuhusu kabila asiwe mnyiramba, mrangi wala mnyaturu

BeautyQueen heshima zote: kwanini wasiwe hao... wana dhambi gani ? au wamepungua nini? Ok utakubali semi-zeru2 ?
au Mkenya au Mgandaz au wa visiwani? your estimations is required.
 
BeautyQueen heshima zote: kwanini wasiwe hao... wana dhambi gani ? au wamepungua nini? Ok utakubali semi-zeru2 ?
au Mkenya au Mgandaz au wa visiwani? your estimations is required.

Nina sababu binafsi kwanini sitapendelea haya makabila niliyoyataja. Semi zeruzeru ndio watiu gani mpendwa? mtu yoyote aliyeumbwa na Mungu wa jinsiaa ya kike isipokuwa tu makabila niliyoyataja ana faa kuwa dada wa hiari kwangu awe zeru zeru au vyovyote Mungu alivyomuumba
 
Kazi ya dada kwa wadogo zake ni nini Smile? ukiweza jibu basi hayo ndio majukumu
Sijaelewa. Unatafuta dada? yani a sister? ndio aje?
What do you expect from her? urafiki? usikilivu?
Sorry sijaelewa, but nimevutiwa vutiwa fulani...
 
Jamani mwli dada wa hiari anakuwa na majukumu kama ya dada tu.
 
Kila siku ni wachumba wanatafutwa sasa mimi nimeamua nitoke hivi. Nimekuja kivingine leo Natafuta madada wa hiari. Miaka yao angalau iwe 30-40. Sifa nitakupa PM utakapoonesha nia.Kama uko tayari ni PM. MBN
Vipi Makaka wa hiari unao wakutosha? Au muda wao bado?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…