Ni kweli kama export of goods imeshuka ambayo ni chanzo cha foreign currency specifically USD, while imports of goods which is the source for spending USD abroad, ni wazi kutakuwa na Increase in demand for USD locally ultimately will lead into high price of dollar (high exchange rate).
Another source huenda kuna movement of our forex into foreign banks kwa njia za kifisadi na kuacha ombwe, ila pia inawezekana BOT wamezuia ku-release USD in the locala market kwa sababu wanazozijua wao. Huu ni mwaka wa uchaguzi hivyo tutarajie low foreign investments flowing in Tanzania and sometime even movement of capital outside due to the fear of election chaos. Unajua ni hatari sana kuuweka uchumi mikononi mwa wageni ambao wakati wa amani wanachuma na kutunyonya, inapokaribia wakati wa uchaguzi wanahofia vurugu na kukimbiza mitaji yao nje.
Ila hii yote inasababishwa na sera za CCM za kutopunguza politcal risks kwa Investors kwa kuonesha kuwa watatenda haki katika uchaguzi na hivyo possibility of political chaos will be low. Matendo kama kukatalia baadhi ya vyama usajili wa kudumu, kupiga danadana kesi ya mgombea binafsi, kutokuwepo tume huru ya uchaguzi; hivi vyote ni viashiria vya kutokuwepo free and fair election which might lead into political violence afterwards.