Naona shilingi iko kwenye freefall tokea tubadilishe dereva...Tatizo nini?! Nilikuwa optimistic baada ya shilingi kuanza kupanda kwa kasi lakini naona tunashuka mlima tena.
[FONT=verdana, Arial]Exchange Rates for 12/Feb/2008[/FONT]
[FONT=verdana, Arial]USD Mean value =[FONT=verdana, Arial]115,305.00 [/FONT][/FONT]
Exchange Rates for 18/Apr/2008
[FONT=verdana, Arial]USD Mean value = [/FONT][FONT=verdana, Arial]123,386.00[/FONT]
Percentage loss in 2 months = 7%!!!