Madai ya baadhi ya wabunge kuwa wanufaika wa vibali vya sukari yana ukweli kiasi gani?

Madai ya baadhi ya wabunge kuwa wanufaika wa vibali vya sukari yana ukweli kiasi gani?

Stuka

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
282
Reaction score
906
Wabunge wanatuhumiwa kuhusika kwenye kashfa ya sukari ambapo inadaiwa baadhi yao wamepewa vibali vya kuagiza sukari na Waziri Bashe kama mkakati wa kuwanyamazisha na kufanikisha azma yake ya kubadilisha sheria ya sukari ili wapate hela nyingi kwa ajili ya uchaguzi.

Baadhi ya wabunge wanaotajwa kwenye dili hiyo ni wa kutoka majimbo ya Zanzibar, Dar es Salaam, Singida, Geita, Mwanza, Mbeya na kampeni hiyo inadaiwa kuongozwa na mmoja wa wafanyabiashara wakubwa wa sukari nchini na ndiyo maana wabunge walipandwa na hasira na kuamua kumfukuza bungeni Mpina kwa hofu kuwa angeendelea kumwaga vielelezo vinavyowahusu wao.

Je madai haya yana ukweli kiasi gani?
 
Wabunge wanatuhumiwa kuhusika kwenye kashfa ya sukari ambapo inadaiwa baadhi yao wamepewa vibali vya kuagiza sukari na Waziri Bashe kama mkakati wa kuwanyamazisha na kufanikisha azma yake ya kubadilisha sheria ya sukari ili wapate hela nyingi kwa ajili ya uchaguzi.

Baadhi ya wabunge wanaotajwa kwenye dili hiyo ni wa kutoka majimbo ya Zanzibar, Dar es Salaam, Singida, Geita, Mwanza, Mbeya na kampeni hiyo inadaiwa kuongozwa na mmoja wa wafanyabiashara wakubwa wa sukari nchini na ndiyo maana wabunge walipandwa na hasira na kuamua kumfukuza bungeni Mpina kwa hofu kuwa angeendelea kumwaga vielelezo vinavyowahusu wao.

Je madai haya yana ukweli kiasi gani?
Haya manbo tutalalamika hadi siku Yesu anarudi mara ya Pili, wale Gen Z haya waliimba sana miaka na miaka na hakuna alie wasikiliza. So hii hakuna atakaye sikia, ila tukafanya hata robo ya Gen Z watatuelewa. Malalamiko hayajawahi leta mageuzi kokote kule Duniani
 
Haya manbo tutalalamika hadi siku Yesu anarudi mara ya Pili, wale Gen Z haya waliimba sana miaka na miaka na hakuna alie wasikiliza. So hii hakuna atakaye sikia, ila tukafanya hata robo ya Gen Z watatuelewa. Malalamiko hayajawahi leta mageuzi kokote kule Duniani
Waambie ukweli. Kuna lugha moja tu viongoz wengi wa afrika wanaelewa, its called violence
 
Haya manbo tutalalamika hadi siku Yesu anarudi mara ya Pili, wale Gen Z haya waliimba sana miaka na miaka na hakuna alie wasikiliza. So hii hakuna atakaye sikia, ila tukafanya hata robo ya Gen Z watatuelewa. Malalamiko hayajawahi leta mageuzi kokote kule Duniani
Kweli kabisa ccm Malafi Sana dawa nikuingia BARABARANI tena chura kiziwi hataki kumgusa kabisa waziri wake
 
Back
Top Bottom