Madai ya katiba Mpya yanavyojisukuma Yenyewe

Madai ya katiba Mpya yanavyojisukuma Yenyewe

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Msajili wa Vyama vya Siasa kasikika kuhoji kwenye sakata la kufukuzwa kwa wale 19.

Kwa mujibu wa Naibu Katibu mkuu CHADEMA bwana Benson Kigaila:

"Tumemjibu kuwa hatuwezi kutoa maelezo hayo kwa sababu barua aliyotuandika hajaambatanisha malalamiko ya hawa waliomlalamikia.Tunakiona hapa ni kutaka kuvuruga mchakato wa Baraza Kuu la Chama linalotakiwa kuketi mwaka huu."

Sheria zinapokiukwa hivi, kunaifainya miito ya busara yenye kuitisha subira kwenye madai ya katiba mpya kuwa haina maana:

"Huwezi kufungua kesi ya aina moja kwenye Mahakama mbili tofauti, hawa watu 19 baada ya kufukuzwa Uanachama mwaka jana kisha wakakata Rufaa Baraza Kuu, ambalo bado halijakaa.Sasa bado rufaa yao haijasikilizwa wamekimbilia kwa msajili." amesema Kigaila

Enyi ma referees mliopaswa kutoegemea upande wowote msipoangalia mtakuwa ndiyo mnaoyaongezea uhalali mapambano ya kudai katiba mpya.


----

Hawakukosea waliosema tenda wema uende zako. Ila hii ya kuvaa miwani ya mbao, yetu macho.
 
COVID-19 wako bungeni wanakula kuku. Mara Never and Never again wakati wamepigwa marufuku mikutano ya siasa na wameufyata.

CHADEMA wamebaki tu kupiga domo, katiba katiba, wakiwa nyuma ya keyboard.

Wananchi wako busy na Wasanii, Corona, Magufuli, miamala ya simu, na petrol.

Graduate wako busy na ajira.

Sasa hivi kila mmoja atajijua.
 
Yego Masika, chakula hakijawahi kuwiva kabla ya kutokota vilivyo.

"Katiba mpya ni muhimu na kipaumbele sana kuliko vyote, ila Corona ni kipaumbele zaidi" Alisisitiza kwenye rai yake Mzee Warioba.


Kuna thawabu kubwa kwao ambao maisha ya watu wengine ni kipaumbele zaidi.
 
Hongera CHADEMA kwa kuamua kusimama kidete na kuamua kula shani moja na wahafidhina,wanyanyasaji yaani mpo katika zama za ama zenu ama zao. Hakuna kuogopana tena tupo vitani kudai katiba mpya na Tume mpya,maana katiba iliyopo inawanufaisha CCM peke yao si kwa wafanyakazi wa kawaida wala waliomo serikalini,kwa maana wingi wa wafanyakazi waliomo katika vyombo vyote vya serikali ya nchi hii havifaidiki na mfumo wa Katiba iliyopo.
 
COVID-19 wako bungeni wanakula kuku. Mara Never and Never again wakati wamepigwa marufuku mikutano ya siasa na wameufyata.

CHADEMA wamebaki tu kupiga domo, katiba katiba, wakiwa nyuma ya keyboard.

Wananchi wako busy na Wasanii, Corona, Magufuli, miamala ya simu, na petrol.

Graduate wako busy na ajira.

Sasa hivi kila mmoja atajijua.
Kuipenda kwenu CCM kunawafanya msifikirie mbali, mpo mpo tu, eti graduates wako busy kuhangaikia ajira, wakati kila siku viongozi wa chama chenu wanawaambia graduates wajiajiri.
 
Msajili wa Vyama vya Siasa kasikika kuhoji kwenye sakata la kufukuzwa kwa wale 19.

Kwa mujibu wa Naibu Katibu mkuu CHADEMA bwana Benson Kigaila:

"Tumemjibu kuwa hatuwezi kutoa maelezo hayo kwa sababu barua aliyotuandika hajaambatanisha malalamiko ya hawa waliomlalamikia.Tunakiona hapa ni kutaka kuvuruga mchakato wa Baraza la Kuu la Chama linalotakiwa kuketi mwaka huu."

Sheria zinapokiukwa hivi, kunaifainya miito ya busara yenye kuitisha subira kwenye madai ya katiba mpya kuwa haina maana:

"Huwezi kufungua kesi ya aina moja kwenye Mahakama mbili tofauti, hawa watu 19 baada ya kufukuzwa Uanachama mwaka jana kisha wakakata Rufaa Baraza Kuu, ambalo bado halijakaa.Sasa bado rufaa yao haijasikilizwa wamekimbilia kwa msajili." amesema Kigaila

Enyi ma referees mliopaswa kutoegemea upande wowote msipoangalia mtakuwa ndiyo mnaoyaongezea uhalali mapambano ya kudai katiba mpya.


----

Hawakukosea waliosema tenda wema uende zako. Ila hii ya kuvaa miwani ya ambao, yetu macho.
Yule ni kada wa CCM
 
Hongera CHADEMA kwa kuamua kusimama kidete na kuamua kula shani moja na wahafidhina,wanyanyasaji yaani mpo katika zama za ama zenu ama zao. Hakuna kuogopana tena tupo vitani kudai katiba mpya na Tume mpya,maana katiba iliyopo inawanufaisha CCM peke yao si kwa wafanyakazi wa kawaida wala waliomo serikalini,kwa maana wingi wa wafanyakazi waliomo katika vyombo vyote vya serikali ya nchi hii havifaidiki na mfumo wa Katiba iliyopo.
Kabisa mkuu
 
Yego Masika, chakula hakijawahi kuwiva kabla ya kutokota vilivyo.

"Katiba mpya ni muhimu na kipaumbele sana kuliko vyote, ila Corona ni kipaumbele zaidi" Alisisitiza kwenye rai yake Mzee Warioba.


Kuna thawabu kubwa kwao ambao maisha ya watu wengine ni kipaumbele zaidi.
AMEN
 
Kuipenda kwenu CCM kunawafanya msifikirie mbali, mpo mpo tu, eti graduates wako busy kuhangaikia ajira, wakati kila siku viongozi wa chama chenu wanawaambia graduates wajiajiri.
Machagga mlivyo misukule wa Chadema kila siku mnalia lia mitandaoni kama mbweha aliyekatwa mkia.

Sugu ana bonge la hotel, sasa hivi anakula mafao, kubadilisha tiketi za ATCL na kusybiria kugombea tena.

Mbowe ana jumba Dubai.

Mnyika ni mstaafu, sasa hivi anakula mafao huku akiwekeza DSE na huku akifanya soft politics kusukuma siku.

Wewe msukule subiri mpaka siku CCM ikitoka madarakani ndio utakuwa na maisha mazuri.

Amkeni nyie mazombi, mmeshawekwa bond.

Kazi yenu sasa hivi ni kupiga jura, kuandamana ili kina Mbowe wapate madaraka na kupigwa ili picha zenu zenye majeraha zitumike kufanyia harakati za siasa.
 
Msajili wa Vyama vya Siasa kasikika kuhoji kwenye sakata la kufukuzwa kwa wale 19.

Kwa mujibu wa Naibu Katibu mkuu CHADEMA bwana Benson Kigaila:

"Tumemjibu kuwa hatuwezi kutoa maelezo hayo kwa sababu barua aliyotuandika hajaambatanisha malalamiko ya hawa waliomlalamikia.Tunakiona hapa ni kutaka kuvuruga mchakato wa Baraza Kuu la Chama linalotakiwa kuketi mwaka huu."

Sheria zinapokiukwa hivi, kunaifainya miito ya busara yenye kuitisha subira kwenye madai ya katiba mpya kuwa haina maana:

"Huwezi kufungua kesi ya aina moja kwenye Mahakama mbili tofauti, hawa watu 19 baada ya kufukuzwa Uanachama mwaka jana kisha wakakata Rufaa Baraza Kuu, ambalo bado halijakaa.Sasa bado rufaa yao haijasikilizwa wamekimbilia kwa msajili." amesema Kigaila

Enyi ma referees mliopaswa kutoegemea upande wowote msipoangalia mtakuwa ndiyo mnaoyaongezea uhalali mapambano ya kudai katiba mpya.


----

Hawakukosea waliosema tenda wema uende zako. Ila hii ya kuvaa miwani ya mbao, yetu macho.
Ujinga ujinga unaoendelea uwe kichocheo kuipata katiba mpya.
 
Machagga mlivyo misukule wa Chadema kila siku mnalia lia mitandaoni kama mbweha aliyekatwa mkia.

Sugu ana bonge la hotel, sasa hivi anakula mafao, kubadilisha tiketi za ATCL na kusybiria kugombea tena.

Mbowe ana jumba Dubai.

Mnyika ni mstaafu, sasa hivi anakula mafao huku akiwekeza DSE na huku akifanya soft politics kusukuma siku.

Wewe msukule subiri mpaka siku CCM ikitoka madarakani ndio utakuwa na maisha mazuri.

Amkeni nyie mazombi, mmeshawekwa bond.

Kazi yenu sasa hivi ni kupiga jura, kuandamana ili kina Mbowe wapate madaraka na kupigwa ili picha zenu zenye majeraha zitumike kufanyia harakati za siasa.
We ndezi unaishi kwa kukariri sijui umevimbiwa maharage ya wapi, umasikini uliosababishwa na serikali yenu chakavu mnadhani kila mmoja anao, kenge kweli.
 
We ndezi unaishi kwa kukariri sijui umevimbiwa maharage ya wapi, umasikini uliosababishwa na serikali yenu chakavu mnadhani kila mmoja anao, kenge kweli.
Ndugu yangu Mrukaruka punguza makeke acha hasira,sikiliza hoja,elewa na uje na hoja pingamizi.
 
We ndezi unaishi kwa kukariri sijui umevimbiwa maharage ya wapi, umasikini uliosababishwa na serikali yenu chakavu mnadhani kila mmoja anao, kenge kweli.
Kwahiyo wewe huo utajiri umesababishiwa na serikali ya wapi ??
 
Back
Top Bottom