Madai ya kujifungua, Mashabiki wamvaa Aunty Ezekiel

Kweli watz hatuna kazi za kutosha yaani mtu unataka kibamba mpk mwananyamala kisa umeona picha insta hahaha hili janga kwa kweli aaaha.
 
He he aunty katueza watu walishatoa jina la Mtoto #IyoboNyalandu kumbe promo at work
Watu tunangoja kama mtt wa prince William wakwanza yule
 
Yaan inaonekana anapenda vya bure ngoja siku wakosane afurumushweee heeee ataipatajee,ila wema ana roho nzuri hua anajali sana marafikia zake lakin wao kumjali sasaaa!!!!

Wema ana roho nzuri...nimeliona li cheusi dawa jana kwenye my shoes kwa wema , anavyojishaua sasa kupakua chakula kwenye ma hot pot nikasema mmh!! Wema anawaokoa wengi mjin apa, sasa najiuliza huyo mwenye mimba hailei mimba yake mpaka anaenda kudoea kwa wema? Halafu mastaa kushobokeana ata haipendez ye hamuoni wolper hana shobo na mtu
 
Kweli watz hatuna kazi za kutosha yaani mtu unataka kibamba mpk mwananyamala kisa umeona picha insta hahaha hili janga kwa kweli aaaha.

Nini mwananyamala? Watu mpaka ifakara tunaenda kufuata umbea, watu na vipaji vyetu bhana
 
Eeh!!! Binamu yangu Dinazarde alivyo mbea hvyo bado umempenda?? Mmh kweli kila shetani na mbuyu wake, aya binamu popote ulipo uko njoo haraka sana

Binam nina hamu sasaa??? Msukuma yupo kila siku naukalia nyege zote kwaheriiiiii,ye akafie Nyasumura kule
 
Last edited by a moderator:

Make up zinawasitirii aisee ile sura ya asubuhi yarabiiiiiiiii ,wolper yuko poa hapendi unaa ye kivyake,hiyo mimba ya majaninii tu
 
Nini mwananyamala? Watu mpaka ifakara tunaenda kufuata umbea, watu na vipaji vyetu bhana

Basi binam hakujui huyoo,kesho kutwa nakuja Dar nataka nikuone live mbea maarufu East Afrika
 
Binam nina hamu sasaa??? Msukuma yupo kila siku naukalia nyege zote kwaheriiiiii,ye akafie Nyasumura kule

Kwanza ana pesa kama kaka ivan? Kama hana akafie loliondo nfyuuu
 
Basi binam hakujui huyoo,kesho kutwa nakuja Dar nataka nikuone live mbea maarufu East Afrika

Ww tena binamuuu?? Sio la kuomba hilo , unakuja na ndege au treni? Maana nataka kuja kukupokea kabisaa
 
Ww tena binamuuu?? Sio la kuomba hilo , unakuja na ndege au treni? Maana nataka kuja kukupokea kabisaa

Hehhheeeee binam private car mbona wataka kuniaibisha wakati mie boss lady wa mwanza mkaanga samaki maarufu alaaaaaa
 
Hehhheeeee binam private car mbona wataka kuniaibisha wakati mie boss lady wa mwanza mkaanga samaki maarufu alaaaaaa

Wapi Mrembo by Nature kitu cha three some, ivi mrembo kaenda wapi? Nilisikia umbea eti yupo india sijui kweli, maana sio ukimya huu khaa!!
 
Last edited by a moderator:
Wapi Mrembo by Nature kitu cha three some, ivi mrembo kaenda wapi? Nilisikia umbea eti yupo india sijui kweli, maana sio ukimya huu khaa!!

Heheeeeee!!!!itakua maana na dogmasta yupo india atakuja tu umemiss swaga zake eee!!!
 
Last edited by a moderator:
Heheeeeee!!!!itakua maana na dogmasta yupo india atakuja tu umemiss swaga zake eee!!!

Ahahahah shauri zako ngoja aje mi mwenzio nimesema tu wala sijamaanisha hvyo...kwi kwi kwi...ivi matikibokoyao kasharudi? Au ndo kaona umbea haulipi kaamua ageukie upande wa pili? Ahahahah
 
Ahahahah shauri zako ngoja aje mi mwenzio nimesema tu wala sijamaanisha hvyo...kwi kwi kwi...ivi matikibokoyao kasharudi? Au ndo kaona umbea haulipi kaamua ageukie upande wa pili? Ahahahah

Hehhhheeeeeeee hata mi simo umelianzisha weweee utalimalizaaàaaaaàa hekoooooooo
 
Ahahahah shauri zako ngoja aje mi mwenzio nimesema tu wala sijamaanisha hvyo...kwi kwi kwi...ivi matikibokoyao kasharudi? Au ndo kaona umbea haulipi kaamua ageukie upande wa pili? Ahahahah

Hehhhheeeeeeee hata mi simo umelianzisha weweee utalimalizaaàaaaaàa hekoooooooo
 
Yaan inaonekana anapenda vya bure ngoja siku wakosane afurumushweee heeee ataipatajee,ila wema ana roho nzuri hua anajali sana marafikia zake lakin wao kumjali sasaaa!!!!

We mtoto umbea utakuua. Hebu nenda kule kajibu PM basi, ndio nini kuniweka gadi namna hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…