Madai ya kuwa Polisi ni waonevu Yasipuuzwe, tukio la Hamza lituunganishe zaidi kuliko kutugawa

Ni muhimu zaidi kwani wananchi sasa wameamini kuwa Hamza amekufa na Siri moyoni


Ni kweli.

Unajua tukio la Hamza ni Ambush, na siku zote Ambush haina mbabe, yeyote anapasuka asipokuwa na bahati.

Kama nilivyosema, hapakuwa na mawasiliano baina ya Askari. Hivyo haikujulikana Kama wanamshambulia Hamza ili wamkamate au ili wamuue au vyovyote vile.
 
Hujaelewa nilivosema landam sijasema kupiga risasi nimemanisha kuwa kuwa beba askari bila kupanga kwamba tutamchukua fulani Leo,,,, Pole sana
 
Kwa mada yako si sahihi kumtuhumu Hamza kwa alichofanya bila kuchunguza sababu ya kufanya vile, ikipatikana sababu itasaidia kuzuia matukio kama hayo, na hasa kama alidhulumiwa basi jeshi litaangalia namna ya kupunguza dhuluma kwa watu!
 
Kudhulumiwa madini sio kweli. Kuna video kasikika akisema yuko tayari kufa kumtetea Allah na wako vijana wengi wa kiislamu kutekekeza hilo. Kwamba ndugu zake waislamu wanafungwa na kuonewa na polisi. Hii ni 'excuse' ya magaidi wengi.
Bongo movie wamefeli sinema nyingi lakini tujiulize wale magaidi wa Chadema ambao intelijensia iliwabaini. Intelijensia hiyohiyo imeshindwaje kumgundua gaidi wa CCM mpaka akatuulia askari wetu? Je kwanini hakuua raia au hakwenda kuua watu kanisani kama mtuma hoja unaamini hiyo video?
Je kwanini isiundwe tume huru kuchunguza tukio hili badala ya kutoa hukumu za ramli! (Maana yawezekana alidhulumiwa au yawezekana aliamua kuwa gaidi dhidi ya polisi!) Je kwanini alienda Selender badala ya sehemu nyingine gaidi huyo? Je kwanini hakushambulia magari yaliyokuwa yakipita na baadhi akionekana kuyaongoza? Je afya yake ya akili ni timamu? Je kesi ya Zombe haitoshi kuonesha katika idara hiyo nyeti kuna "majambazi?" Kuna mengi ya kujiuliza na kujifunza katika hili.
Mipayuko na mihemko sidhani kama vina usaidizi wakati huu.
 
Maneno yako ni sahihi.
Jamaa alitembea kutoka salender Bridge mpaka akafika pale ubalozi wa Ufaransa karibu nusu saa.
Hakuna defender ya polisi ilofika wala makamanda. ijapokuwa makao makuu yapo karibu sana..
Gari lapolisi lilifika bada mtuhumiwa kuuliwa.
Kuna askari alikwenda kumpokonya bunduki na baada ya kumpokonya akamuengeza marisasi. kwanini.?
Ikiwa kafika karibu na kumpokonya silaha kwanini asimkalie juu yake na kumdhibiti.
Risasi nyingi alipigwa baada ya kuangukua au kupigwa. kama kesha pigwa kwa nini wakamuengeza marisasi.?

Kuna gari la maji ya kuwasha lingeweza kumdhibiti.
Hakuna hata mazungumzo baina yule jamaa na polisi kumwambia weka silaha chini au kitu chochote. Hakuna hata kipaaza sauti kilichotumika

Kuna masuali mengi na ukweli ukiangalia video utaona risasi zinavyolega mbali kabisa.

Tunatumai ukweli utatoka.
Ilo baki sasa polisi wanejenga hoja kuwa ni gaidi na anapaswa kuuuliwa kuficha walofanya.
 
Mkuu andiko lako tunaweza sema ni ‘Case Study’ kama kuna wahusika wanapita hapa wachukue haya madini maana ume balance story yako kati ya jamii na walinda amani wetu
IGP ameshahukumu mjadala umefungwa wazazi tuchunge watoto wetu
 

Madai yote yatolewa ufumbuzi
 
Kutumia makalio ni kuamini cha upande mmoja ili usitumie makalio sikiliza pande zote kisha tafakari kwa nini Hamza hakuwaua Raia wa kawaida?
Hivi wale jamaa wa Kibiti waliokuwa hawauwi raia wa kawaida na badala yale wakawa wanawaua viongozi na maaskari hawakuwa magaidi? Nimesahau hivyo tukumbushane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…