Madaktali njooni uku mtujuze vitu.

Madaktali njooni uku mtujuze vitu.

brave Mwafrika

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2019
Posts
247
Reaction score
135
Jamani naomba msaada wenu apa
Chanzo cha Kuongezeka na kupungua kwa homoni mwilini husababishwa nanini!!??

Nani madhara gani umpata MTU kama homoni zicpo balance???
Kwa jinsia yoyote,
Ila mm n ME
 
Sababu moja ni baadhi ya vipodozi mfano vyenye steroids,,hivi hushusha uzalishaji wa steroids mwilini ambazo hormone

Pia inaweza kutokea kutokana na uzao..i.e genetically
 
Sababu moja ni baadhi ya vipodozi mfano vyenye steroids,,hivi hushusha uzalishaji wa steroids mwilini ambazo hormone

Pia inaweza kutokea kutokana na uzao..i.e genetically
Mathara yapi anayopata mtu kama homoni zake zikiwa azipo kwenye balance!???
 
Back
Top Bottom