Madaktari Kenya wawatuma wagonjwa wao kutibiwa Tanzania

Kwa akili za Wanachadema zilivyo watasema hao wagonjwa wamenunuliwa na CCM waje kutibiwa Tanzania.
 
Lkn pia hii ishara tosha ya kuwa wananchi wa jumuiya tuna tegemeana ...maana hata kuna baadhi ya wa tz mpakan na kenya hupelekaa watoto wao wakasome kenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…